Habari za leo rafiki yangu,
Mwaka 2014 niliendesha semina kwa njia ya mtandao iliyokuwa na jina JINSI YA KUTENGENEZA FEDHA KWENYE MTANDAO KWA KUTUMIA BLOG. Kwenye semina ile niliwashirikisha mambo yote muhimu kuhusu blog, jinsi ya kuitengeneza na hata kuikuza. Wengi walihudhuria semina ile na kujifunza, baadaye nilitoa kitabu kwa mfumo wa kielektroniki (pdf) kilichokuwa kinaelezea kwa undani zaidi jinsi mtu anavyoweza kutengeneza kipato kwa kutumia blog.

Waliohudhuria semina na kusoma kitabu kile wameweza kufungua blog zao, wapo ambao wameweza kukuza blog hizo mpaka kufikia hatua ya kuuza vitu kupitia blog zao, wengine wamepata fursa za kuandika makala kwenye magazeti kutokana na blog zao. Lakini pia wapo ambao wameanzisha blog na kuishia njiani, wameshindwa kuzikuza na hatimaye kuona kama kutengeneza fedha kwenye mtandao ni kitu ambacho hakiwezekani.
Kabla hatujaendelea nataka nikuhakikishie kitu hiki kimoja, kutengeneza fedha kwenye mtandao ni kitu ambacho kinawezekana, na mtu yeyote ambaye amejitoa na yupo tayari kuweka juhudi, ni lazima atengeneze kipato kwenye mtandao kwa kutumia blog yake.

Rafiki, nachukua nafasi hii kukukaribisha kwenye semina nyingine ya KUTENGENEZA KIPATO KWA KUTUMIA BLOG. Katika semina hii tunakwenda kujifunza mambo yote muhimu ya kuanzisha na kukuza blog, pamoja na kuangalia changamoto ambazo zimekuwa zinawarudisha watu wengi nyuma. Tutakwenda kuangalia kwa undani mambo yote muhimu mtu anapaswa kuzingatia ili kuweza kujenga biashara yake kupitia blog.
Jambo moja muhimu sana kuhusu semina hii ni itakujia bure kabisa, hutahitaji kuchangia hata senti moja, badala yake utajifunza na kama utatumia yale utakayojifunza, utaweza kujitengenezea uhuru wa kipato kupitia mtandao wa intaneti.

Semina hii itakuwa ya siku saba, na itaanza tarehe 19/09/2016 na kuisha tarehe 25/09/2016. Hizi ni siku saba za uhuru wa maisha yako, hakikisha hukosi mafunzo haya.

Utajifunza nini kwenye siku hizi saba?

Siku ya kwanza; karibu kwenye ulimwengu wa taarifa, maana ya blog na kwa nini ni muhimu KILA MTU awe na blo yake.

Siku ya pili; jinsi ya kuchagua mada itakayokufaa wewe na kuchagua hadhira yako ambayo baadaye itaweza kukunufaisha.

Siku ya tatu; vitu muhimu unavyohitaji ili kuweza kuendesha blog yako vizuri na kuikuza.

Siku ya nne; umuhimu wa EMAIL LIST katika kutengeneza kipato, matumizi ya mitandao ya kijamii na mitandao mitatu muhimu ya kuitawala.

Siku ya tano; jinsi ya kuchagua bidhaa au huduma unazoweza kuuza kwa kutumia blog yako.

Siku ya sita; kuandaa bidhaa/huduma ya kuuza pamoja na mchakato wote wa kuuza kwa kutumia blog.

Siku ya saba; hatua za kuchukua kukuza blog yako na kutatua changamoto zinazowafanya wengi kushindwa.

Hizi ni siku saba za kupata mambo yote muhimu unayopaswa kujua kuhusu kutengeneza fedha kwenye mtandao kwa kutumia blog.

Uzuri ni kwamba unakwenda kujifunza kutoka kwangu ambaye nimeweza kutengeneza fedha kwenye mtandao kwa kutumia blog, hivyo nakwenda kukupa siri zote ninazozijua mimi, na kazi inabaki kuwa kwako kama kweli unataka kukuza kipato chako.

Semina hii inawafaa hasa watu gani?
1. Wamiliki wote wa blog kwa sasa, iwe unatengeneza kipato au la.
2. Waajiriwa wote ambao wamekuwa wanafikiria kuwa na kitu cha pembeni kinachowaingizia kipato, yaani waajiriwa ni muhimu mno kujifunza kupitia semina hii.
3. Wahitimu wa elimu ya juu ambao bado wanatafuta kazi, hakuna sehemu nzuri ya kuanzia kama kwenye blog.
4. Wanafunzi wa elimu ya juu, hawa watapata maandalizi bora kabisa huku wakiwa bado wapo masomoni.
5. Mmiliki yeyote wa biashara za kawaida, yaani zisizo za mtandaoni. Kama unamiliki biashara halafu huna blog au tovuti, umeamua kujipoteza mwenyewe, njoo ujifunze.
6. Mtu yeyote ambaye anatumia mitandao ya kijamii na anapenda kuwashirikisha watu wengine vitu vizuri.

Kama umeweza kusoma hapa, maana yake tayari una vitu vinavyohitajika ili kuweza kutengeneza fedha kwenye mtandao kwa kutumia blog, karibu sana ushiriki semina hii.

Uendeshwaji wa semina.
Semina hii itaendeshwa kwa njia mbili;

Njia ya kwanza ni kupitia email, kwa siku saba za semina, kila siku utatumiwa somo la semina kwenye email yako. Kwa nini napenda sana kutumia email? Kwa sababu unaweza kutunza masomo haya na kuwa unayarudia maisha yako yote, tofauti na njia nyingine kama wasap ambapo ni rahisi kupoteza masomo hayo.

Njia ya pili ni kupitia mtandao wa TELEGRAM ambao unafanana na wasap, huko pia masomo yatawekwa, lakini utakuwa mahususi zaidi kwa maswali na majibu. Kila jioni ya siku husika kutakuwa na kipindi cha maswali na majibu kuhusu somo husika, hivyo kila mshiriki atapata nafasi ya kuuliza swali na nitajibu moja kwa moja huku kila mtu akijifunza, hata kama hajauliza swali. Kwa nini TELEGRAM na siyo wasap? Kwa sababu telegram inaweza kuchukua watu wengi sana ukilinganisha na wasap, pia ina uhuru mkubwa wa mtu kujiunga mwenyewe, ninachofanya ni kukupa link na ukibonyeza tayari umeingia, haina haja unipe namba nikuunganishe.

Najiungaje na semina hii?
Kama upo tayari kunufaika na mtandao wa intaneti, na upo tayari kutengeneza fedha kwa kutumia blog, karibu sana kwenye semina hii. Kujiunga na semina hii fuata hatua hizi mbili;

Hatua ya kwanza jaza fomu ya kujiunga, kwa kuweka taarifa zako, jaza fomu hapo chini au bonyeza maandishi haya kujaza fomu.
  #mlb2-3019278, #mlb2-3019278 *, #mlb2-3019278 a:hover, #mlb2-3019278 a:visited, #mlb2-3019278 a:focus, #mlb2-3019278 a:active { overflow: visible; position: static; background: none; border: none; bottom: auto; clear: none; cursor: default; float: none; letter-spacing: normal; line-height: normal; text-align: left; text-indent: 0; text-transform: none; visibility: visible; white-space: normal; max-height: none; max-width: none; left: auto; min-height: 0; min-width: 0; right: auto; top: auto; width: auto; z-index: auto; text-shadow: none; box-shadow: none; outline: medium none; } #mlb2-3019278 h4 { font-weight: normal; } #mlb2-3019278 .subscribe-form { padding: 20px; width: 310px !important; border: 2px solid #F6F6F6!important; background: #f6f6f6 none!important; -webkit-border-radius: 0px!important; -moz-border-radius: 0px!important; border-radius: 0px!important; } #mlb2-3019278 .subscribe-form.ml-block-success { width: 310px !important; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section { margin-bottom: 20px; width: 100%; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section.mb10 { margin-bottom: 10px; float: left; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section.mb0 { margin-bottom: 0px; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section h4 { margin: 0px 0px 10px 0px; padding: 0px!important; color: #000000!important; font-family: Open Sans!important; font-size: 28px!important; line-height: 100%; text-align: left!important; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section p { line-height: 150%; padding: 0px!important; margin: 0px 0px 10px 0px; color: #000000!important; font-family: Open Sans!important; font-size: 14px!important; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section a { font-size: 14px!important; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section .confirmation_checkbox { line-height: 150%; padding: 0px!important; margin: 0px 0px 15px 0px !important; color: #000000!important; font-family: Open Sans!important; font-size: 12px!important; font-weight: normal !important; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section .confirmation_checkbox input[type=”checkbox”] { margin-right: 5px!important; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section .form-group { margin-bottom: 15px; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section .form-group label { float: left; margin-bottom: 10px; width: 100%; line-height: 100%; font-weight: bold; color: #000000!important; font-family: Open Sans!important; font-size: 14px!important; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section .checkbox { width: 100%; margin: 0px 0px 10px 0px; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section .checkbox label { color: #000000!important; font-family: Open Sans!important; font-size: 14px!important; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section .checkbox input { margin: 0px 5px 0px 0px; } #mlb2-3019278 .subscribe-form .form-section .checkbox input[type=checkbox] { -webkit-appearance: checkbox; } #mlb2-3019278.ml-subscribe-form .form-group .form-control { width: 100%; font-size: 13px; padding: 10px 10px; height: auto; font-family: Arial; border-radius: 0px; border: 1px solid #cccccc!important; color: #000000!important; background-color: #FFFFFF!important; -webkit-box-sizing: border-box; -moz-box-sizing: border-box; box-sizing: border-box; clear: left; } #mlb2-3019278.ml-subscribe-form button { border: none !important; cursor: pointer !important; width: 100% !important; border-radius: 0px !important; height: 40px !important; background-color: #000000!important; color: #FFFFFF!important; font-family: Arial!important; font-size: 16px!important; text-align: center !important; } #mlb2-3019278.ml-subscribe-form button.gradient-on { background: -webkit-linear-gradient(top, rgba(0, 0, 0, 0) 0%, rgba(0, 0, 0, 0.2) 100%); background: -o-linear-gradient(top, rgba(0, 0, 0, 0) 0%, rgba(0, 0, 0, 0.2) 100%); background: -moz-linear-gradient(top, rgba(0, 0, 0, 0) 0%, rgba(0, 0, 0, 0.2) 100%); background: linear-gradient(top, rgba(0, 0, 0, 0) 0%, rgba(0, 0, 0, 0.2) 100%); } #mlb2-3019278.ml-subscribe-form button.gradient-on:hover { background: -webkit-linear-gradient(top, rgba(0, 0, 0, 0) 0%, rgba(0, 0, 0, 0.3) 100%); background: -o-linear-gradient(top, rgba(0, 0, 0, 0) 0%, rgba(0, 0, 0, 0.3) 100%); background: -moz-linear-gradient(top, rgba(0, 0, 0, 0) 0%, rgba(0, 0, 0, 0.3) 100%); background: linear-gradient(top, rgba(0, 0, 0, 0) 0%, rgba(0, 0, 0, 0.3) 100%); } #mlb2-3019278.ml-subscribe-form button[disabled] { cursor: not-allowed!important; } #mlb2-3019278.ml-subscribe-form .form-section.ml-error label { color: red!important; } #mlb2-3019278.ml-subscribe-form .form-group.ml-error label { color: red!important; } #mlb2-3019278.ml-subscribe-form .form-group.ml-error .form-control { border-color: red!important; }

//static.mailerlite.com/js/w/webforms.min.js?vb01ce49eaf30b563212cfd1f3d202142 Hatua ya pili jiunge na kundi la TELEGRAM, kwanza hakikisha una telegram kwenye simu yako, kama huna nenda kwenye PLAY STORE na search TELEGRAM MESSENGER, ukishaipata iweke kwenye simu yako na unganisha namba yako kama unavyounganisha kwenye wasap. Baada ya hapo nitumie ujumbe wenye neno SEMINA kwa njia ya telegram kwenye namba 0717396253 au bonyeza maandishi haya na moja kwa moja utaingia kwenye kundi la semina.

Chukua hatua sasa.
Mwisho wa kujiungana semina hii ni tarehe 16/09/2016, lakini nakusihi sana ujiunge leo kwa sababu nafasi zinaweza kujaa, mfumo wetu wa email una kikomo cha kupokea watu, hivyo kuhakikisha hukosi semina hii jiunge leo hii.

Karibu sana tujifunze kwa pamoja jinsi ya kutengeneza fedha kwakutumia blog, kama mimi nimeweza, hata wewe unaweza.
Karibu sana.
Rafiki na Kocha wako,
Makirita Amani,
makirita@kisimachamaarifa.co.tz