Mpendwa Rafiki,
Muda haubembelezi wala haujali hisia zako.

Kama huutumi vizuri, utakuadhibu kwa majuto.

Lakini ukijifunza kuudhibiti, utakufanikisha haraka zaidi ya unavyodhani!

Watu wengi wanajidanganya wakisema:
🔴 Nitaanza kesho
🔴 Mimi si mtu wa haraka

Lakini ukweli ni huu: Muda haukungoji! Wanaouchukulia kwa uzito wanafanikiwa, na wanaouchezea wanalia baadaye.

Swali ni je, unataka kuwa kwenye kundi lipi?

📌 Kitabu cha MUDA UPO kinakupa mbinu za kuhakikisha kila sekunde unayotumia inakuletea matokeo makubwa!

Kupata kitabu hiki, ingia hapa 👇
https://vitabu.somavitabu.co.tz/#/view/shop-item/40/

Karibu.
0756694090.