‎‎Kakaa/Dadaa hebu fikiria hii… kila mwezi pesa inaingia, halafu ndani ya wiki mbili unajiuliza, *Ile hela imeenda wapi?*‎‎

Na wewe si mlevi.‎‎

Huna starehe kubwa.‎‎

Lakini bado hela zako zinaisha bila habari.‎

Mara kodi, mara vocha, mara outing ya ghafla.‎‎

Na mwisho wa mwezi unabaki na ndoto tu hakuna akiba, hakuna maendeleo.‎‎

Ni kama maisha yako yamefungwa kwenye lupu ya *kuishi kwa matumaini.

‎‎Ni uchungu bwana.‎

Unaamka mapema, unahustle, unateseka kwenye daladala…‎‎

Unakutana na presha za kazi, watu wanaokukera,‎

Lakini bado huna hata mia ya dharura mwishoni mwa mwezi.‎‎

Mwezi ukiisha ni kama umepigwa knockout.‎

Kila mara unajitetea, *Mwezi huu ndio najipanga upya.

‎‎Lakini unajikuta unaanza upya kwa deni tena!‎

Na sio kwa sababu huna kipato,

‎‎Ni kwa sababu huna mfumo.

‎‎Watu wengi huamini suluhisho ni kuongeza kipato.‎‎

Ati ukipata hela nyingi, maisha yatatulia.‎‎

Ni uongo mtupu!

‎‎Kama huwezi kusimamia elfu kumi, hata ukipewa laki tano utazichezea tu.

‎Utajiona mfalme wiki ya kwanza,‎‎

Na wiki inayofuata, utakuwa unachukua boom kwa jirani.

‎‎Tatizo si hela kidogo.‎Tatizo ni kutokuwa na udhibiti.‎

Unahitaji mfumo, si hela zaidi.‎‎

Ndiyo maana kuna Aplikesheni ya Usimamizi wa Fedha Binafsi.

‎Ni kama kuwa na Mhasibu mfukoni mwako.‎‎

Inakusaidia kujua hela yako inaenda wapi, lini, na kwanini.‎

Unaweka malengo yako kama kuweka akiba, kulipa deni, au kupanga bajeti ya mwezi.‎‎

Unapewa ripoti za kila siku unajua kabisa “Nimenunua nini leo na kwa nini?”‎‎Inaweka nidhamu kwenye matumizi yako bila kubana sana hadi uchoke.‎

Unakuwa free, lakini smart.‎‎

Dah! Kuna dogo mmoja anaitwa Brian, jamaa wa boda pale Kinondoni.‎

Hela yake ilikuwa haikai hata siku mbili.‎‎Kila siku anakopa, analipa, anakopa tena.‎‎

Nilimshauri tu ajaribu hiyo app ya usimamizi wa fedha.‎‎

Alianza kwa mashaka, akidhani ni ujinga.‎‎

Leo hii, dogo ameweka akiba ya laki tano ndani ya miezi miwili.

‎‎Anajua kila senti aliyoitumia.‎‎Anapanga matumizi yake kama bosi.‎‎

Anaeza hata kumudu kulipa ada ya mdogo wake bila kuteseka.‎‎

Na bado anakula vizuri.‎‎

Sasa ni zamu yako.‎‎

Usikubali maisha yakuzungushe kama karai la zege.‎‎

Jipange kifedha kama mjanja.

‎‎Pakua hiyo app leo anza kuongoza hela zako,‎‎ Usiishi ukiongozwa na hela.‎‎

Hela inatakiwa ikutumikie  si kukutesa.

‎‎JIPANGE!‎‎

Na ni kama bahati kwako leo hii,‎‎

Kwani Aplikesheni hii iliyomsaidia Brian,‎‎ Unaipata leo kwa ofa ya ada ya Tshs 29,999 TU!

Kwa Mwaka mzima badala ya Tshs 100,000 Nzima.‎‎

Kwasababu Brian kaomba niwapunguzie ili na nyie mnufaike kama alivyonufaika nayo.‎‎

Leo ninachukua 15 TU!‎‎

Ni hapa 👇

‎‎*https://wa.link/6j0o6j*

‎‎Au tuma ujumbe *Nataka Aplikesheni Iliyomsaidia Brian*‎‎

Kwenda namba 0756694090.‎‎

Karibu.

‎Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan.‎