‎Mama Rehema alikuwa mzazi wa kawaida tu mwenye mapambano ya kila siku 🧺.

‎Mtoto wake, Jamilah, alikuwa mpenda TikTok, sweetie na Netflix 📱🍬.

‎Kila siku alikuwa akiomba buku mbili, tatu… ila hakujua inakwenda wapi 💸.

‎Siku moja, Mama Jamilah alipata ujumbe kwenye WhatsApp 📨.

‎Ulikuwa kuhusu program ya NGUVU YA BUKU TOTO 📘.

‎Ulikuwa unawafundisha wazazi,walezi na watoto mbinu za kuokoa, kuwekeza na kuanzisha biashara ndogo 🛍️.

‎Moyo wake ulimwambia: “Jamilah bado mdogo sana… ataelewa kweli?” 🤔

‎Alitaka kumpa muda zaidi acheze, akae darasani…

‎Lakini moyoni alikuwa na hofu: Je, nikichelewa, nitamharibu? 💔

‎Akamkumbuka shangazi yake aliyemfundisha biashara akiwa darasa la tano 🧕🏾.

‎Leo ni mmiliki wa maduka manne jijini.

‎Alimwambia: “Rehema, utajiri unaanza na misingi. Si umri.” 💬

‎Akaamua kuchukua hatua akalipia program kwa ofa ya Tshs 50,000 tu! 💥

‎Akaanza kusoma pamoja na Jamilah, kila jioni kwa dakika 20 ⏰.

‎Jamilah akawa na ndoto mpya ya kuuza bangili mtandaoni 📿📲.

‎Mara ya kwanza hakuuza hata moja 😔.

‎Watu walimcheka  “Huu ni mchezo wa kitoto.”

‎Lakini mama ake alimsapoti, akamnunulia vifaa, na kumpa moyo ❤️.

‎Leo hii, Jamilah huuza bangili online 🛒.

‎Anapata buku 5 kila wiki, na bado yuko darasa la saba 📈.

‎Anaelewa kuokoa, kuweka malengo na kufanya mahesabu yake mwenyewe 📊.

‎Mama Rehema sasa anasema kwa fahari:

‎“Mtoto wangu anajifunza pesa mapema kuliko nilivyowahi fanya!” 👩‍👧

‎Na anawashauri kina mama wengine kuanza sasa, wasingojee hadi form four 🛑.

‎Ni kama bahati kwako unapata Package Ya NGUVU YA BUKU TOTO kwa Tsh 50,000 TU! badala ya 100,000 💵

‎Ofa hii ni mpaka Jumapili hii tu ⏳.

‎Baada ya hapo, bei inarudi juu, usichelewe kumpa mtoto wako zawadi ya maisha 🎁.

‎📲 Kuwahi Ofa Hii Bonyeza Hapa 👇

https://wa.link/4er2cn

‎Karibu.

‎0756694090.

‎💡 Kumbuka:

‎Usimlazimishe mtoto wako kuwa tajiri kesho.

‎Mfundishe kuwa mjanja leo.

‎Ndiyo zawadi bora unayoweza kumpa 🙏🏽.

‎Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Mkufunzi Ramadhan