‎Rafiki yangu,

‎Hebu tuwe wakweli.

‎Kila siku unaamka.
‎Unaenda kazini au au kwenye biashara.
‎Unapambana.

‎Unatumia nguvu zako zote.
‎Unachoka.
‎Ukilala…

‎Pesa nazo zinalala.

‎Hapo ndipo hatari halisi ilipo.
‎Kwa sababu maisha hayasimami.
‎Kodi haingoji.

‎Ada haingoji.
‎Chakula hakingoji.
‎Magonjwa hayaulizi ratiba.

‎Ugonjwa mdogo tu.
‎Biashara ikiyumba kidogo.
‎Ajali.

‎Soko likibadilika.
‎Boom.
‎Kila kitu kinasimama.
‎Ndipo unapogundua ukweli mchungu.

‎Ulikuwa unaishi kwa mshahara wa leo.
‎Sio kwa mfumo wa kesho.
‎Watu wengi wanafanya kazi kwa nguvu.

‎Lakini hawajengi mfumo.
‎Wanatoka jasho.
‎Lakini hawapandi mbegu.

‎Wanajivunia niko bize sana.
‎Lakini hawajiulizi:
‎Nikilala, nani analeta pesa?

‎Hapo ndipo tofauti kubwa ilipo.
‎Wachache wanazifanya pesa ziwafanyie kazi.
‎Wengi wanafanya kazi hadi kuchoka.

‎Na sio kwa sababu wachache wana bahati.
‎Bali kwa sababu wana ELIMU.
‎Elimu ya msingi.

‎Sio elimu ya kuonekana mtaalamu.
‎Bali elimu ya kujilinda.
‎Nilikuwa hapo.

‎Kabisa.
‎Nilikuwa nafanya kazi kila siku.
‎Nikipumzika, kipato kinapumzika.
‎Nikipata shida, kila kitu kinayumba.

‎Nilijifariji kwa kusema:
Bado napambana.
‎“Kesho itakuwa sawa.”

‎Lakini ukweli haujali faraja.
‎Ukweli ni huu:
‎Kama huna kipato kinachoendelea bila uwepo wako, upo hatarini.

‎Siku moja nilikaa kimya.
‎Nikajiuliza swali gumu:
‎Nikiumwa leo, nitakula nini kesho?

‎Hapo ndipo nilipoanza kujifunza.
‎Sio kuwekeza kwa kelele.
‎Sio kutafuta miujiza.

‎Nilianza na MSINGI.
‎Nikagundua kitu muhimu sana:
‎Watu wengi hawapotezi pesa kwa sababu hawana nyingi.

‎Wanapoteza kwa sababu hawajui misingi.
‎Wanachanganya uwekezaji na kamari.
‎Wanachanganya tamaa na mpango.

‎Wanachanganya kusikia na kuelewa.
‎Ndipo wanaumia.
‎ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI
‎Hiki sio kitabu cha matajiri.

‎Na sio cha wale wana pesa nyingi.
‎Ni cha watu wanaotaka KUJILINDA.
‎Kinakufundisha:
‎– Kuelewa pesa kabla ya kuikimbiza
‎– Kutenganisha kipato na utajiri
‎– Kujua hatari kabla ya kuingia
‎– Kujenga kipato kinachotiririka
‎– Kufanya maamuzi kwa akili, sio mihemko.

‎Hiki ni kitabu cha kukupa dira.
‎Sio kukuahidi utajiri wa haraka.
‎Kwa sababu ukweli ni huu:

‎Utajiri wa kweli hauanzi na pesa.
‎Unaanza na uelewa.
‎Msingi hubadilisha mwelekeo.
‎Mtu mwenye pesa bila msingi huanguka haraka.

‎Mtu mwenye msingi hata kidogo huinuka taratibu.
‎Na maisha yanaheshimu wanaojua wanachofanya.
‎Kama leo unaishi kwa hofu ya kesho.
‎Kama unaogopa kulala kwa sababu kipato kinasimama.

‎Kama umechoka kuzunguka bila mpango.
‎Huu ndio wakati wako.
‎ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI
‎Ni ramani ya kukutoa hatarini.
‎Ni mwongozo wa kuanza kuifanya pesa ikutafute.

‎Sio kesho.
‎Sio siku moja.
‎Lakini kwa mwelekeo sahihi.
‎Kipate hapa 👇

https://wa.link/kj1hrl

‎PS: Kipato kisicholala hakukufanyi tajiri tu.
‎ Kinakupa pumzi ya maisha.
‎ Kinakupa amani ya akili.


‎ Kinakupa uhuru wa kusema “nikipumzika, maisha yanaendelea.”


‎Usingoje hatari ikufundishe.
‎Jifunze kabla.

‎Karibu.
0756694090.