Baadhi ya wanyama jamii ya Mamba humeza mawe na kukaa nayo tumboni kwa muda mrefu. Mawe haya huitwa gasrolith.
Mawe haya humsaidia mamba mambo yafuatayo;
1. Humsaidia aweze kuwa na uzito utakaowafanya wazame kina kirefu zaidi kwenye maji.
2. Humsaidia kusaga chakula tumboni.
3. Hufanya tumbo liwe na uzito na kujisikia ameshiba hata kama hajala.
JE WAJUA; Mamba kumeza mawe.