Utakuwa sahihi sana kimafanikio kwa kwenda kinyume na wengi kuliko kufuata mkumbo wa wengi.

Kuna amani kufanya yale yanayofanywa na wengi, lakini unaishia kupata matokeo ya kawaida.

Kupata matokeo makubwa, lazima ufanye tofauti na wanavyofanya wengi.

Kocha Dr. Makirita Amani, MD, CFE | +255678977007 | https://bit.ly/makirita