Tumia faida kama dira ya biashara yako,
Usije na mipango yoyote ya ukuaji kama hujaweza kuiona faida kamili kwa uhalisia kabisa.
Pambana kuzalisha faida kwenye biashara na mengine yatakwenda vizuri.
Kocha Dr. Makirita Amani, MD, CFE | +255678977007 | https://bit.ly/makirita
