Mpendwa Rafiki,

Kukata tamaa, kukosa Furaha, kupata msongo ni kwasababu ya kukosa ustahimilivu,

Ili kupata ustahimilivu fanya mambo haya matatu (3),

  1. Fanya Tahajudi.
  2. Jifunze.
  3. Andika Chini changamoto inayokukabili.

Kumbuka;

Kwenye Haya Maisha Utakosa Mengi Kuliko Utakayoyapata.

Kujifunza zaidi kuhusu somo hili,

Pata kusoma kitabu chaUNA NGUVU YA KUTENDA MIUJIZA

Kama bado hujakipata ingia hapa https://wa.link/2tl69r

Na pia kama bado hujapakua aplikesheni ya UTAJIRI.TZ,

Basi ipakue hapa 👇
https://www.bit.ly/utajiritz

Karibu Sana.
https://wa.link/2tl69r