Pata Elimu Ya Mikopo.

Mpendwa Rafiki,
Unakumbuka mara ya mwisho uliomba mkopo ilikuwaje?
Ulidhani umejipa unafuu, kumbe umejifunga kitanzi cha madeni?
Ulianza kujificha kwa HR kila mwisho wa mwezi?
Tatizo si mkopo, rafiki yangu.
Tatizo ni kutokujua aina za mikopo, mzuri na mbaya.
Mkopo mbaya?
Ni ule unaokula mishahara yako hadi unakopa tena kurudisha uliokopa.
Ni ule wa kununua vitu vya haraka haraka visivyozalisha chochote.
Na mwisho wake?
Unaishia kulalamika ‘Maisha magumu’ kila mwezi.
Lakini kuna mkopo mzuri, ule unaokuongezea kipato.
Unaochangia elimu, biashara, ujuzi au uwekezaji.
Ule unaojilipa wenyewe na kukuinua.
Kwasababu leo ndio mwisho wa ile ofa ya mei mosi,
Basi unayo nafasi ya kutoka kwenye mduara wa madeni na kuingia kwenye mduara wa maarifa.
Ofa ni hii hapa:
Ni kama zali kwako leo unapata vitabu vinne (4) vya hardcopy,
Kwa Tsh 50,000 tu badala ya 80,000. Hivi vitabu vitakufundisha:
Aina za mikopo
Mikakati ya kutoka kwenye madeni
Njia za kuanzisha biashara ndogo zenye faida
Jinsi ya kuijenga akili ya utajiri hata ukiwa bado kwenye ajira.
Huu hapa ushuhuda wa mteja wetu…..
Mariam, mwalimu kutoka Singida, alikopa benki kununua friji la kuuza juisi baada ya kusoma kitabu cha NGUVU YA BUKU.
Leo hii anaongeza mshahara wake kila wiki, na bado yuko kazini.
Usiogope mikopo ogopa ujinga wa mikopo.
Andika NATAKA OFA YA MEI MOSI kwenda Namba 0756694090.
Kisha nitakutumia maelekezo kabla ya ofa hii kuisha usiku huu!
Kumbuka: Ofa Hii Ni Ya Leo Tu,
Leo Jumamosi Ya Tarehe 03/05/2025.
Karibu.
0756694090.