‎Mpendwa Rafiki,

‎Hebu niambie…

‎Kwa nini kila siku unaamka mapema, unajitoa kimasomaso kazini,

‎…lakini mwisho wa siku unaambulia maneno tu kama, Pambana tu kaka… siku moja itaeleweka?

‎Umechoka kuona wengine wakisonga mbele, wakibadilisha maisha, ilhali wewe bado uko pale pale,

‎… ukivumilia, ukitegemea miujiza itokee kutoka hewani.

‎Kaka/Dada… hiyo siyo stori yako kamili. Wewe unastahili zaidi ya hapo.

‎Na cha kuumiza zaidi…

‎Unafanya kazi mara mbili ya watu wengine, lakini hawakuzungumzii.

‎Unawasaidia watu, lakini wewe mwenyewe huna msaada.

‎Unapambana hadi misuli ya akili inachoka, lakini bado maisha yako yanazunguka duara moja.

‎Inaboa, sio?

‎Sasa ngoja nikwambie kitu.
‎Shida sio kwamba huna maarifa, wala hujui unachofanya.

‎Shida ni kwamba unafanya kwa nguvu zako za kawaida tu.

‎Watu wanaopenya kwenye maisha ya mafanikio ni wale waliogundua kuwa NDANI YAO kuna nguvu ya kutenda mambo ya ajabu.

‎Wale waliamua kuamka kiakili, kiroho, na kimatendo.

‎Na hiyo nguvu? Ipo pia ndani yako—unalazimika tu kuifungua.

‎Na hapa ndipo siri ilipo:

‎Kitabu cha UNA NGUVU YA KUTENDA MIUJIZA ni mwanga kwenye giza la kawaida.

‎Ni mwongozo wa kutoka maisha ya kubahatisha hadi maisha ya kutawala.

‎Utakisoma, utatambua kuwa wewe sio mtu wa kubembeleza mafanikio.

‎Unaweza kuyaamuru yaje kwa matendo yako.

‎Utatenda tofauti, utafikiri tofauti, na maisha yako yataanza kuvutia baraka kama sumaku.

‎Ni kama kuwa na remote ya kubadilisha maisha yako na wewe ndo unashika remote yenyewe.

‎Kuna mtu nilimjua, jina lake ni Halima.

‎Alikuwa kwenye sekta ya urembo, lakini kwa miaka mitatu, alikuwa anajikokota tu.

‎Nilimpatia hiki kitabu nikiwa na uhakika kitawasha moto uliolala ndani yake.

‎Leo hii? Halima ana wateja mpaka wa kuweka appointment wiki moja kabla.

‎Anasema, Ile siku nilianza kuitikia kuwa mimi nina nguvu ya kutenda miujiza, maisha yangu yalibadilika.

‎Na wala hakuhama mtaa, hakubadilisha kazi, alibadilisha tu namna anavyojifikiria na kutenda.

‎Huo ndio mchezo mzima.

‎Sasa Ni Zamu Yako.

‎Umehangaika vya kutosha.

‎Umevumilia vya kutosha.

‎Sasa ni muda wa KUAMKA na KUCHUKUA HATUA.

‎Pata kitabu UNA NGUVU YA KUTENDA MIUJIZA sasa hivi.

‎Soma, elewa, na tenda… halafu shuhudia miujiza ikitembea kwenye kazi zako, maisha yako, na ndoto zako.

‎Maisha hayabadiliki kwa kusubiri…

‎ Yanabadilika kwa kutenda.

‎Na wewe, una nguvu hiyo.

‎Chukua hatua sasa, leo sio siku ya kuahirisha.

‎Kama unataka kuungana na halima basi ingia hapa 👇

https://wa.link/86ex88

‎Karibu.
‎0756694090.

Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan