
Mpendwa Rafiki,
Hebu niambie…
Kwa nini kila siku unaamka mapema, unajitoa kimasomaso kazini,
…lakini mwisho wa siku unaambulia maneno tu kama, Pambana tu kaka… siku moja itaeleweka?
Umechoka kuona wengine wakisonga mbele, wakibadilisha maisha, ilhali wewe bado uko pale pale,
… ukivumilia, ukitegemea miujiza itokee kutoka hewani.
Kaka/Dada… hiyo siyo stori yako kamili. Wewe unastahili zaidi ya hapo.
Na cha kuumiza zaidi…
Unafanya kazi mara mbili ya watu wengine, lakini hawakuzungumzii.
Unawasaidia watu, lakini wewe mwenyewe huna msaada.
Unapambana hadi misuli ya akili inachoka, lakini bado maisha yako yanazunguka duara moja.
Inaboa, sio?
Sasa ngoja nikwambie kitu.
Shida sio kwamba huna maarifa, wala hujui unachofanya.
Shida ni kwamba unafanya kwa nguvu zako za kawaida tu.
Watu wanaopenya kwenye maisha ya mafanikio ni wale waliogundua kuwa NDANI YAO kuna nguvu ya kutenda mambo ya ajabu.
Wale waliamua kuamka kiakili, kiroho, na kimatendo.
Na hiyo nguvu? Ipo pia ndani yako—unalazimika tu kuifungua.
Na hapa ndipo siri ilipo:
Kitabu cha UNA NGUVU YA KUTENDA MIUJIZA ni mwanga kwenye giza la kawaida.
Ni mwongozo wa kutoka maisha ya kubahatisha hadi maisha ya kutawala.
Utakisoma, utatambua kuwa wewe sio mtu wa kubembeleza mafanikio.
Unaweza kuyaamuru yaje kwa matendo yako.
Utatenda tofauti, utafikiri tofauti, na maisha yako yataanza kuvutia baraka kama sumaku.
Ni kama kuwa na remote ya kubadilisha maisha yako na wewe ndo unashika remote yenyewe.
Kuna mtu nilimjua, jina lake ni Halima.
Alikuwa kwenye sekta ya urembo, lakini kwa miaka mitatu, alikuwa anajikokota tu.
Nilimpatia hiki kitabu nikiwa na uhakika kitawasha moto uliolala ndani yake.
Leo hii? Halima ana wateja mpaka wa kuweka appointment wiki moja kabla.
Anasema, Ile siku nilianza kuitikia kuwa mimi nina nguvu ya kutenda miujiza, maisha yangu yalibadilika.
Na wala hakuhama mtaa, hakubadilisha kazi, alibadilisha tu namna anavyojifikiria na kutenda.
Huo ndio mchezo mzima.
Sasa Ni Zamu Yako.
Umehangaika vya kutosha.
Umevumilia vya kutosha.
Sasa ni muda wa KUAMKA na KUCHUKUA HATUA.
Pata kitabu UNA NGUVU YA KUTENDA MIUJIZA sasa hivi.
Soma, elewa, na tenda… halafu shuhudia miujiza ikitembea kwenye kazi zako, maisha yako, na ndoto zako.
Maisha hayabadiliki kwa kusubiri…
Yanabadilika kwa kutenda.
Na wewe, una nguvu hiyo.
Chukua hatua sasa, leo sio siku ya kuahirisha.
Kama unataka kuungana na halima basi ingia hapa 👇
https://wa.link/86ex88
Karibu.
0756694090.
Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan