‎Vunja Laana Ya Umaskini Kwa Kuanzia Hapa….‎‎

Kaka, dada, hebu tuambiane ukweli…‎

Umechoka kuishi kwa mlo mmoja?‎‎

Au kila mwisho wa mwezi ni stress tupu?‎

Mishahara inapita kama upepo.‎‎

Biashara haieleweki.‎

Kuna hela, lakini haikai.‎‎

Unafanya kazi kama punda, lakini mfuko ni kama gunia la mbolea lenye mashimo kila kona.‎‎

Unajituma, lakini mafanikio yako kama ndoto ya mchana.‎

Kaka, hiyo siyo laana.

‎‎Ni mfumo mbovu wa maisha.‎

Ni kukosa maarifa sahihi.‎‎

Tazama wenzako wanaoanza na elfu moja,‎ Leo wanamiliki vibanda, magari, hadi mashamba.‎‎

Wewe bado unatafuta mtu wa kukukopesha buku la kula.‎

Ni aibu.‎‎

Lakini sio kosa lako kabisa.‎‎

Ni kwamba wakati unakuwa uliaminishwa kuwa*Ukiwa na hela nyingi, ndo unaweza kuwekeza.*

‎‎Na Wewe Ukaamini.‎‎

Ulimwengu unabadilika, lakini mtazamo wako umebaki kuwa ule wa miaka ya 70.‎‎

Upo kwenye mduara wa mateso pesa inaingia na kutoka bila faida.‎

Kila mwezi ni kama unaanza maisha upya.

‎Mpaka lini?‎‎

Watu wengi hudhani kwamba ili uanze kujenga utajiri, lazima uwe na mamilioni.

‎Hapo ndo tunakosea.‎‎

Ukweli ni huu:‎‎

Hela kidogo ndiyo mwanzo wa hela nyingi.‎‎

Tatizo si kwamba huna pesa.‎

Tatizo ni kwamba hujui namna ya kukitumia kile kidogo ulichonacho.‎‎

Huna mfumo.‎

Huna maarifa.‎Unakula mtaji, unaua ndoto zako.‎‎‎

Kuna kitabu kinaitwa “Nguvu Ya Buku.”‎Hiki kitabu hakikufundishi tu kuokoa pesa.‎‎

Kinakufundisha kuifanya pesa ikutumikie hata kama ni elfu moja tu.‎

Utaanza kuona mabadiliko kuanzia siku ya kwanza.‎‎

Unajifunza:‎‎

– Jinsi ya kutunza elfu moja kwa staili ya mtaani.

‎‎– Jinsi ya kuigeuza kuwa mtaji.

‎‎– Na namna ya kuiendeleza kuwa mnyororo wa fedha isiyoisha.‎‎

Hiki siyo kitabu cha mafumbo.‎

Ni mwongozo wa maisha mapya.‎‎

Na ni kwa watu kama wewe.‎

Watu wa mtaa.‎

Watu wanaotaka kuinuka.‎‎‎

Ndugu yangu Sam alinitumia meseji ya manung’uniko.‎‎

Mkuu, nimekata tamaa.

Kila nikianza kuokoa, mwisho naishia kuomba tena.‎

Sijui nifanyeje.”‎‎Nikamtumia “Nguvu Ya Buku”.

”‎Wiki mbili baadaye, akanitumia picha – ameanza kuuza maandazi na juice.

‎‎Mwezi mmoja baadaye, akaniambia:‎

*Buku lilimbadilisha*.

”‎‎Leo ana duka dogo la vyakula.‎‎Anapanga kufungua la pili”

Hiyo nguvu ya mabadiliko si ya kiroho ni ya maarifa.‎‎

Maarifa yapatikanayo kwenye kitabu hiki.‎‎

Usingoje mshahara mwingine ukufikishe kwenye msongo tena.‎

Usingoje upate milioni ndo uanze.‎‎

Anza na hiyo buku.‎

Buku yako ya leo inaweza kuwa sababu ya uhuru wako wa kesho.‎‎

Chukua Nguvu Ya Buku sasa hivi.‎Jifunze siri ya hela.‎‎

Jivue kongwa la umasikini.‎

Buku moja, maisha mapya.‎‎Ni kama bahati kwako leo hii,‎‎

Utaungana na wenzako 468,

‎‎Kwa mfano ukinunua kitabu hiki cha NGUVU YA BUKU,‎‎

Unapata Kozi Ya Nguvu Ya Buku,‎‎

Bure Kabisa.‎‎

Kupata vyote viwili hivi (2),‎‎

Leo.‎‎Ingia hapa 👇 ‎‎*https://wa.link/n7wf4y*‎‎

Au Tuma ujumbe *NATAKA NGUVU YA BUKU*‎‎

Kwenda 0756694090.

‎‎Karibu.

‎0756694090.‎‎

Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan.‎‎