‎Kwa Wale Waliochoka Kuishi Maisha Ya Kawaida.

‎Kakaa/ Dadaa Yangu…

‎Unajua shida ni nini?

‎Watu wengi wanataka mafanikio.
‎Lakini hawajui mafanikio huja vipi.
‎Wanadhani ni bahati.
‎Au pesa.
‎Au connection.

‎Lakini ukweli ni huu…
‎Kuna UBATIZO.
‎Ndio, ubatizo wa mafanikio.
‎Kabla hujaishi maisha ya ndoto zako…
‎Lazima kupitia moto.
‎Lazima kutakaswa.
‎Lazima kubadilishwa.

‎Shida iko hapa…

‎Watu hawapendi maumivu.
‎Watu wanakimbia misukosuko.
‎Lakini ndiyo hiyo hiyo inayozaa mafanikio.

‎Kama hujapitia tabu, hujabatizwa.
‎Na bila ubatizo ,huwezi kupewa.
‎Huwezi kuaminiwa na mafanikio.

‎Ngoja nikuambie kitu.

‎Kama bado unalia bila mtu kukuonea huruma…
‎Kama bado unahangaika lakini hakuna anayekusaidia…
‎Kama bado unakazana lakini matokeo hayaji…

‎Basi usikate tamaa.

‎Unapitishwa.
‎Unaundwa.
‎Unatengenezwa.

‎Lakini pia…
‎Kuna njia rahisi kidogo.
‎Sio shortcut, lakini ina mwanga.
‎Ni mwongozo.
‎Ni msaada wa kiakili, kiroho na kimatendo.

‎Kuna Kitabu kinaitwa…
‎MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO.

‎Hiki si kitabu cha porojo.
‎Ni ramani.
‎Ni namba ya siri.
‎Ni mwali wa ndani kabisa wa yale mafanikio ambayo hayasemwi.

‎Wewe nadhani humjui…

‎Kuna mtu alikua anauza miwa barabarani.
‎Kila mtu alimwona wa kawaida.

‎Lakini akapata mwongozo huu…
‎Leo anaagiza bidhaa kutoka nje.
‎Anafundisha wengine.

‎Anaishi maisha ambayo wale wote waliokuwa wakimcheka na kumsema,

‎“Mbona huyu ataishia tu kuwa muhudumu wa boda boda”

‎Leo wanamuheshimu sana, na wanamuomba ushauri.

‎Ujue ukweli…
‎Tunakosea sana…
‎Tunaiga maisha ya watu.
‎Tunafuata kelele mitandaoni.

‎Tunasahau maisha yana misingi yake.
‎Mafanikio yana sheria zake.

‎Na unakutana na sheria 100 za maisha ya mafanikio humo ndani.

‎Kama uko tayari…
‎Kupitia ubatizo wa mafanikio…
‎Kupitia hatua kwa hatua…
‎Kuelewa kwa undani…
‎Na hatimaye kuibuka mpya…

‎Basi chukua kitabu hiki.
‎Sio kwa sababu unakiweza.
‎Bali kwa sababu una KIHITAJI.

‎MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO
‎Sio tu kitabu.
‎Ni kama daktari wa maisha.
‎Ni kama kocha wa roho.
‎Ni kama rafiki wa kweli, anayekuambia:
‎”Simama. Tembea. Usiogope.”

‎Bonyeza hapa 👇

https://wa.link/vfgg7s

‎Kupata nakala yako kabla hazijaisha.
‎Na ujitayarishe kwa UBATIZO…

‎Maisha yako yatageuka kuwa ushuhuda.

‎Karibu.
‎0756694090.
‎Hii Makala Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan Amir.