‎Hebu waza kidogo kaka…
‎Mtoto wa miaka 9, ananunua chipsi na pesa alizozalisha mwenyewe!
‎Si hela ya mzazi.
‎Si sadaka ya shangazi.
‎Ni buku lake mwenyewe.
‎Sasa jiulize, mtoto wako anazalisha nini?

‎Leo nakufundisha kitu ambacho wengi hawajawahi kufikiria:
‎Jinsi ya kumfundisha mtoto wako kuanza kuzalisha pesa kuanzia buku hadi laki!
‎Na wala huhitaji mtaji wa milioni.
‎Unahitaji kitabu tu ,Cha Nguvu Ya Buku Toto.

‎Mtoto wako anakuambia,
Dadii, usinipatie hela leo, nimeuza na nimepata buku tano.

‎Anajua bei, anajua faida, anajua kuweka akiba.
‎Kila jioni anafanya hesabu.
‎Kila mwezi ana mpango.
‎Na baada ya miaka miwili tu…

‎Anakuwa na akaunti ya benki,
‎Ana hisa kwenye mradi mdogo wa familia,
‎Na kila mtu anamuona kama role model mdogo.

‎Tuna watoto zaidi ya 100 waliopitia programu ya Nguvu Ya Buku Toto.
‎Wameuza vitu vidogo kama pipi, accessories, hata huduma za kusaidia kazi nyumbani kwa malipo.

‎Wengine wamejifunza kuandika vitabu vyao!
‎Hawa si watoto wa matajiri.
‎Ni watoto wa kawaida, lakini wenye misingi sahihi.
‎Msingi wa kufikiri kama mjasiriamali mdogo.

‎Mafunzo haya yanafundisha mtoto:

‎Kuelewa thamani ya pesa.

‎Kufikiri kama mtoaji suluhisho, si ombaomba.

‎Kutengeneza bidhaa ndogo ndogo zinazouzwa shuleni au mtaani.

‎Kuandika lengo lake la pesa kila mwezi.

‎Na kujifunza kuweka akiba kwa njia ya michezo!

‎Hii si hadithi ya kusisimua tu.
‎Ni mfumo.
‎Ni kitabu kazi.
‎Ambacho kimetengenezwa mahsusi kwa mtoto wa Kitanzania wa sasa.

‎Kaka usingoje mtoto akue ili aombe kazi.
‎Mfanye aweze kujiajiri hata akiwa darasa la tano.
‎Chukua vitabu hivi viwili:

‎1. Nguvu Ya Buku Toto
‎2. Nguvu Ya Buku Toto – Kitabu Kazi


‎Kwa bei ya Tsh 20,000 tu kila kimoja!
‎Au chukua package yote kwa Tsh 50,000 tu badala ya Tsh 100,000.
‎Ofa hii inaisha tarehe 30 Juni!

‎Usimwache mtoto wako awe mtegemezi, wakati anaweza kuwa mzalishaji.
‎Anza leo. Anza sasa. Anza na Nguvu Ya Buku Toto.
‎Kwa sababu mtoto wako ana uwezo mkubwa anahitaji tu kuamshwa!

‎Kupata vitabu hivi bonyeza hapa

‎👇👇👇
https://wa.link/y14f5h

‎Kwa kununua vitabu hivi, unamwekea mtoto wako msingi wa ubilionea.

Karibu.

Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

Mkufunzi Ramadhan Amir.