
Kuna ukweli mchungu hapa kaka…
Watu wengi wana biashara nzuri.
Wana bidhaa poa.
Wana huduma safi.
Lakini bado mauzo yao ni ya kuvunjika moyo.
Kwa nini?
Kwa sababu hawajui kuuza.
Wanadhani biashara ni kuwa na duka.
Au kuwa na stock kubwa.
Au kufungua page ya Instagram.
Hapana.
Biashara ni kuuza.
Na kuuza ni maarifa ya kichwani – sio mzigo ulioko store.
Hebu tafakari…
Kila mwezi unahangaika.
Unapiga kelele mitandaoni lakini kimya.
Unaweka offer hakuna anayejali.
Unawaza, labda bidhaa ndo mbaya.
Unabadilisha jina la biashara bado hakuna kitu.
Mauzo yamekauka.
Ndoto zako zinakufa polepole.
Na kila siku watu wapya wanazidi kufungua biashara mpya wanakushinda!
Unadhani tatizo ni mtaji? Hapana.
Unadhani ni ushindani? Si kweli.
Unadhani ni nyota mbaya? Acha hizo.
Tatizo ni kwamba hujui mbinu sahihi za kuuza.
Hujui namna ya kumshika mteja na kumgeuza kuwa mteja wa kudumu.
Hujui lugha ya kuuza.
Na kama hujui hiyo…
Uko kwenye biashara ya kubahatisha sio biashara ya ukweli.
Lakini habari njema ni hii…
Sasa hivi unaweza kujifunza mbinu kali za mauzo hatua kwa hatua.
Kupitia kitabu kinachotikisa: CHUO CHA MAUZO.
Hiki sio kitabu cha maneno mengi.
Ni kozi kamili ndani ya kurasa chache.
Kimejaa mifano.
Kimejaa hadithi.
Na kinafunza lugha ya kuuza ambayo inatoa hela mfukoni mwa mteja kwa ridhaa yake.
Kuna kijana mmoja anaitwa Sam.
Alikuwa anauza viatu mtaani.
Kila siku anapiga lapa.
Anahangaika hadi jua linazama hajauza hata jozi moja.
Akavunjika moyo.
Baadaye akapewa kitabu cha CHUO CHA MAUZO.
Akasoma ndani ya siku 3.
Akaanza kubadili lugha anayotumia.
Akaanza kuweka caption zenye kuvuta hisia.
Akaanza kuwasiliana na wateja kwa staili ya kitaalamu.
Leo hii?
Anaingiza laki 1 kwa siku.
Anasema alichojifunza kwenye kitabu kile, kingemsaidia hata kama angekuwa anauza mahindi barabarani.
🔥 Sasa Ni Zamu Yako:
Unaendelea kusubiri miujiza au unachukua hatua?
Kitabu CHUO CHA MAUZO ni silaha yako ya mauzo.
👉 Fanya order sasa hivi kabla bei haijapanda.
Weka oda hapa 👇
https://wa.link/5oqq4w
👉 Pata mbinu za kuuza hata kwa mtu aliyesema sina hela.
P.S. Ukikosa hii nafasi… Utaendelea kushuhudia wengine wakipiga pesa, wakati wewe bado unaweka post isiyo na mteja.