Mpendwa Rafiki,

‎Umeshawahi kujiuliza mbona kila mwaka upo vile vile tu?
‎Kila Januari una malengo.
‎Lakini kufikia Julai tayari umeyasahau.
‎Hakuna kilichobadilika.
‎Bado uko pale pale.

‎Sio kwamba huna akili.
‎Sio kwamba Mungu hakupendi.
‎Ni kwamba haujui cha kufanya, lini ufanye, na kwa nini unapaswa kufanya.

‎Hakuna mwongozo.
‎Unahangaika tu.

‎Hii hali inachosha.
‎Inauma kuona wenzako wanapiga hatua,

‎Na wewe uko tu. Unacheka tu mitandaoni.
‎Ukiona mtu amenunua gari unaanza kusema “ana mwanamke mzuri”

‎Ukiona mtu kajenga unatafuta mchawi.

‎Lakini rohoni unajua
‎Unaumia.
‎Unaota maisha bora lakini hujui njia ya kuyafikia.

‎Tatizo si kwamba hufanyi kazi.
‎Tatizo ni kwamba unafanya kazi bila dira.

‎Unatumia nguvu nyingi bila mwelekeo.
‎Ni kama mtu anakimbia porini bila kujua anakoenda.

‎Kila mtu ana semina yake, kila mtu ana ushauri wake,
‎Lakini hakuna aliyeweka ramani kamili ya kutoka sifuri hadi mafanikio.

‎Mpaka sasa.

‎Kitabu hiki cha MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO.

‎Kimeandika kwa lugha rahisi kabisa.
‎Kimeeleza hatua kwa hatua:
‎— Jinsi ya kubadili fikra zako
‎— Jinsi ya kuanza safari ya mafanikio
‎— Jinsi ya kuvuka vikwazo
‎— Jinsi ya kuanza kujijenga hata kama hauna hela

‎Hakuna porojo.
‎Hakuna hadithi za kufikirika.
‎Ni mwelekeo wa maisha halisi.
‎Ni mwongozo wa wale waliochoka kukwama.

‎Nilikutana na jamaa mmoja.
‎Alikuwa na miaka 29.
‎Kazi hana. Ndoto zimevunjika. Anaishi kwa dada yake.
‎Siku moja nikampelekea kitabu hiki.

‎Akakisoma mara tatu ndani ya wiki moja.
‎Akanipigia simu usiku mmoja akilia.
‎“Bro, kumbe tatizo halikuwa uchawi. Tatizo ni mimi nilikosa mwongozo.”

‎Leo hii ana biashara yake ndogo ya printing.
‎Ana mteja wake wa kwanza wa kila siku: NDOTO ZAKE.

‎Na alianza na kitabu hiki hapa.

‎Ukiendelea kusoma bila kuchukua hatua.

‎Utabaki kuwa mtaalam wa kutamani.

‎👉 Chukua sasa hivi kitabu chako cha
‎MWONGOZO WA MAISHA YA MAFANIKIO
‎Usiangalie bei, angalia maisha unayotamani.

‎📦 Ni hapa
‎https://wa.link/89xs17
‎📞 Au Tuma Neno MWONGOZO kwenda 0756694090.

‎Wakati mwingine, unachohitaji si hela bali RAMANI.
‎Na hii hapa. 🌍📘

‎Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana.
‎Mkufunzi Ramadhan Amir.