‎‎Kunasa Wateja Kama Sumaku.

‎Unaambiwa kuna watu wameongeza mauzo yao mara mbili ndani ya wiki moja tu… si kwa miujiza, bali kwa mfumo sahihi!

‎Najua unajitahidi kuuza.
‎Lakini kila siku inaisha ukiwa na maswali haya kichwani:
‎”Mbona wateja hawaongezeki?”
‎”Mbona nazunguka sana lakini mauzo hayapandi?”
‎”Nawezaje kuuza bila kuomba omba au kusumbua watu?”

‎Pole sana najua inavyochosha.

‎Kwa miaka kadhaa tumejifunza, tukajaribu, tukakosea, na hatimaye tukatengeneza mifumo sahihi ya kuuza:
‎✅ Vitabu vinavyofungua akili
‎✅ Mfumo wa CRM wa kuratibu wateja
‎✅ Na meseji 1000 zinazofunga mauzo kirahisi bila kuonekana kero

‎Na sasa, kwa mara ya kwanza – vyote vinapatikana kwa nusu bei tu kupitia Ofa Ya Sabasaba!

‎Leo unapata kifurushi cha nguvu chenye vitu 5 vya thamani ya Tsh 100,000 kwa Tsh 50,000 tu!
‎Angalia unachopata:

‎📘 Mauzo ni Raha – Tsh 20,000
‎📗 Mauzo ni Mchezo wa Namba – Tsh 20,000
‎📕 Mvua ya Wateja – Tsh 20,000
‎🧠 CRM ya Miezi 2 – Tsh 20,000
‎💬 Meseji 1000 za Mfumo KUMBUKA – Tsh 20,000
‎🧾 Jumla ya Thamani: Tsh 100,000
‎💸 Leo Unalipa: Tsh 50,000 tu!


‎⏰ Ofa hii ilianza Julai 07 hadi Julai 11 – Inaisha saa 11:55 usiku!
‎Baada ya hapo, bei inarudi juu haraka bila huruma.

‎📲 Kuwahi ofa hii, bonyeza hapa sasa hivi:
‎🔗 https://wa.link/ux8948

‎📞 Kwa maelezo zaidi:
‎📱 0756 694 090