Rafiki Yangu,
‎Kuna kipindi biashara ya Baba Kelvin ilikuwa juu.
‎Wateja walifurika. Mauzo yalirindima.
‎Kila siku ilikuwa na matumaini mapya.

‎Lakini ghafla, mambo yakabadilika.
‎Simu zilinyamaza.
‎Hakukuwa na oda mpya.

‎Mitandao ilikuwa kimya.
‎Alijisemea, “Labda ni msimu tu…”
‎Lakini wiki zikapita. Hakuna kilichobadilika.

‎Na ilimuuma. Sana.

‎Alianza kujiuliza: “Kulikoni? Wateja walikwenda wapi?”
‎Akiwacheki hawajibu.

‎Akitoa ofa hakuna anayeshtuka.
‎Mpaka mmoja aliandika tu ujumbe mmoja:
‎“Nilisahau kama bado unauza!”

‎🔥 Na hapo ndipo aligundua ukweli mchungu:
‎Biashara yake haikufa ilisahaulika.

‎👣 Lakini hakuachana nayo.
‎Aliamua kutafuta suluhisho.
‎Ndipo aliposikia kuhusu Mfumo wa Kumbuka SMS njia rahisi ya kuwaamsha wateja waliolala.

‎Akaanza na ujumbe mmoja:
‎“Habari rafiki, tulikukumbuka… bado tunahudumia kama zamani na sasa tuna ofa yako!”

‎Siku hiyo hiyo, mteja wa zamani akarudi.
‎Kesho yake wawili zaidi.
‎Wiki haikuisha, duka likawa hai tena.

‎📌 Leo Baba Kelvin anasema hivi:
‎“Biashara haiwezi kukumbukwa ikiwa hujikumbushi.”

‎Na Mfumo huu wa SMS ndio silaha yake ya mauzo ya kila wiki.

‎💡 Na wewe unaweza kufanya hivi leo:
‎✅ Kuamsha waliolala
‎✅ Kukumbusha ofa zako kwa upole
‎✅ Kujenga uhusiano wa kudumu
‎✅ Na kuongeza mauzo bila kelele

‎Biashara yako haifi mara moja.
‎Inazimika polepole kama taa isiyotunzwa.
‎Lakini ukijua kuitwanga cheche, inawaka tena kwa nguvu.

‎👇🏾 Bonyeza hapa kuanza kutumia mfumo huu sasa:

https://wa.link/0uuu0r

‎Usingoje hadi wapotee kabisa wakumbushe leo.

‎📞 Karibu!
‎0756694090.

‎Kutoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Ramadhani Amir