Rafiki Yangu,

‎Unapata hela. Lakini baada ya muda, hakuna kinachoonekana.

Inauma eeh? 😩
‎Na ukiendelea hivi, utabaki kusaka pesa kila siku bila matunda.

‎Siri ni hii 👉 hela inahitaji mfumo. Bila mfumo, zote zinapotea.

Vitabu havikupi huo mpango. Unahitaji mwongozo halisi.

‎Ndiyo maana tunakutana Zanzibar – Kisima Cha Maarifa 2025.


‎Utafundishwa namna ya kusimamia mapato, kuongeza chanzo cha kipato, na kukomesha madeni. 🚀

‎Kuna dada mmoja, mwaka jana alishiriki. Leo ana akiba ya miezi 6 na biashara yake imekua mara mbili.

‎Wewe unasubiri nini? 👇
https://wa.link/lsl3hp

‎Karibu.
‎0756694090.