‎Rafiki Yangu,

‎Hebu nikwambie ukweli ambao watu wengi hawapendi kuusikia…
‎Watu wengi wanachelewa kuanza uwekezaji si kwa sababu hawana pesa
‎wanachelewa kwa sababu wanaogopa kuanza.

‎Wanahisi hawana elimu ya kutosha.
‎Wanahisi uwekezaji ni kwa matajiri.
‎Wanahisi hawajafikia level fulani.
‎Lakini ukweli ni rahisi sana…
‎Uwekezaji hauanzi ukiwa mkubwa… unakuza ukubwa.

‎Leo hii watu wengi wanaishi kwa mshahara wa kupumulia.
‎Unapata pesa, unalipa bili, unamaliza mwezi kama vile hujawahi kuipata.

‎Hakuna hela inayobaki.
‎Hakuna akiba.
‎Hakuna uwekezaji.

‎Lakini ukweli ni huu…
‎Kuanza uwekezaji hakuhitaji kuwa na mamilioni.
‎Kinachohitajika ni direction sahihi na nidhamu ndogo tu.

‎Na hii ndiyo changamoto kubwa…
‎Watu wanaona kila kitu kikubwa,
‎wanapotea kusaka maelezo mengi sana,
‎wanasahau kitu kimoja…
‎Uwekezaji unaanza kwa hatua ndogo, lakini sahihi.

‎Na ukichelewa kuanza leo,
‎kesho hautachelewa tu,
‎utakuwa umejipunguzia miaka mingi ya uhuru wa kifedha.

‎Maisha hayakusubiri.
‎Bili hazisubiri.
‎Mishahara haipandi haraka.
‎Na muda.
‎kila siku unapita bila uwekezaji,
‎ndiyo hasara kubwa kuliko hata kutopata bonus kazini.

‎Unajua nini kinauma zaidi?
‎Miaka mitano ijayo, utasema:
Kumbe ningejua, hata elfu 5 ningeanza…

‎Watu wengi wanaamini lazima waanze na mtaji mkubwa.
‎Hii ni imani potofu.

‎Uwekezaji wa maana hauanzi kwa pesa nyingi,
‎unaanzia kwa mpango.
‎Mpango wa kujenga akiba kidogo,
‎kuihamishia kwenye uwekezaji salama,
‎kuachana na tamaa ya matokeo ya haraka.

‎Wengine wanafikiri lazima uelewe hesabu ngumu,
‎graphics za stock market,
‎au maneno ya kiuchumi yanayokera kichwa.
‎Hapana, kaka.
‎Wekeza hatua kwa hatua.
‎Ukitaka kisukari kitatokea, jaribu kuelewa kila kitu mara moja!

‎Mwongozo wa kuanza uwekezaji leo ni rahisi kuliko unavyodhani:

‎1. Anza na kiasi kidogo unachoweza kuhimili.
‎Hata elfu 10 inaweza kukupa mwanzo.


‎2. Weka akiba ya dharura polepole, usikimbilie mambo makubwa.


‎3. Wekeza kwenye maeneo yanayokua polepole lakini kwa uhakika.


‎4. Tengeneza nidhamu ya weka kabla ya kutumia, si weka kilichobaki.


‎5. Jenga tabia ya kujifunza hatua ndogo ndogo kila siku.

‎Leo unapoanza kidogo
‎unajenga misuli.
‎Unajenga utamaduni.
‎Unajenga nguvu itakayokulipa kesho na keshokutwa.

‎Namkumbuka jamaa mmoja mtaani kwetu.
‎Hakuwa na mshahara mkubwa.
‎Lakini alikuwa na kitu kimoja nidhamu ndogo ya kuweka elfu 5 kila wiki.

‎Wenzake walimcheka.
‎Walimuambia hiyo ni hela ya supu.
‎Lakini yeye aliendelea tu.
‎Mwaka ulipofika mwisho,
‎miaka miwili ikapita,
‎akawa na pesa ya kuanza biashara ndogo ya mtaji mdogo.

‎Leo hii jamaa yuko mbali kuliko waliomcheka.
‎Sio kwa sababu alikuwa na hela nyingi
‎bali kwa sababu alianza mapema, akabana, akavumilia.

‎Hii ndio nguvu ya kuanza mapema.
‎Hii ndio nguvu ya mwongozo sahihi.

‎Kaka, kama kweli unataka kuanza uwekezaji bila kuchanganyikiwa,
‎bila kusubiri mamilioni,
‎bila kuogopa kuanza kidogo
‎anza na mwongozo sahihi.

‎Na mwongozo huo upo tayari.
‎Wazi.
‎Rahisi kuelewa.
‎Umeandikwa kwa lugha ya kiswahili.
‎Unaanzia sifuri mpaka hatua ya sasa naelewa.

‎Mwongozo huu unaupata ndani ya kitabu hiki cha ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI.

‎Kukipata unaweza kuweka oda Yako hapa 👇

‎Ni hapa 👇

https://wa.link/kj1hrl

‎Karibu.
‎0756694090.