‎Kaka/dada, hebu nikuambie kitu.
‎Wengi wanalia kila mwezi, Mshahara wangu ni mdogo!
‎Lakini tatizo si kipato chako.
‎Tatizo ni hujui nini cha kufanya nacho.

‎Unaweka hela zako bila mpango.
‎Unanunua kila kitu kinachopita kwenye macho yako.
‎Na unapomaliza mshahara, unasalia na mikono mitupu.
‎Huo ndio mzunguko unaojirudia kila mwezi.

‎Sasa sikiliza vizuri.
‎Hujui thamani ya pesa zako.
‎Hujui jinsi ya kuifanya ikuletee faida kubwa.
‎Na hii ndiyo sababu wengi wanajikuta wanalia na hawana utajiri.

‎Usikubali hii iwe yako.
‎Kila shilingi unayoweka lazima iwe na sababu.
‎Kila senti lazima itumike kwa akili.
‎Hapo ndipo uwekezaji unakua.
‎Hapo ndipo unapata uhuru wa kifedha.

‎Tuseme unataka kuanza kidogo.
‎Hakuna shida.
‎Misingi sahihi ya uwekezaji ni rahisi.
‎Hata ukiwa na elfu chache, unajenga MSINGI mzuri.
‎Unaweka mapato kidogo, na pesa zinajizalisha zenyewe.

‎Watu wengi wanadhani kama hawana pesa kubwa, hawawezi kuwekeza.
‎Hii ni ile tafsiri mbaya ya walimwengu.

‎Hii ni ile inayoifanya pesa ziwe adui.
‎Hakuna kitu kama hiko.
‎Kinachohitajika ni msukumo na elimu.

‎Kuna kijana mmoja.
‎Alianza na elfu kumi tu.
‎Alikuwa mfanyakazi wa kawaida.
‎Alijua tu njia sahihi ya kuweka pesa.

‎Leo, baada ya miaka michache, mapato yake yameongezeka sana.

‎Hii yote kwa sababu alijua msingi kwanza, kabla ya kulalamika juu ya kipato chake.

‎Sasa unajua.
‎Kabla hujalalamika juu ya mshahara au kipato chako, jua msingi.
‎Jua njia sahihi ya kuwekeza.
‎Jua jinsi ya kuifanya kila shilingi ikuletee faida.

‎Na hatimaye, jua jinsi ya kujenga utajiri wako bila kulala usingizi wa wasiwasi.

‎Hii ndiyo siri ya wale wanaofanikiwa.
‎Siyo bahati.
‎Siyo kuja kwa pesa nyingi ghafla.
‎Ni elimu sahihi na kuchukua hatua kidogo kidogo kila siku.

‎Na kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI kitakuonyesha hatua kwa hatua.

‎Hakuna namba ngumu.
‎Hakuna maneno ya kitaalamu.
‎Ni rahisi.
‎Ni hatua unazoweza kuchukua leo, kesho, na baadae.

‎Usisubiri mshahara uishe.
‎Usisubiri huku ukiendelea kulalamika.
‎Anza sasa.
‎Jenga msingi wako.
‎Na kisha tazama pesa zako zikijikopesha, zikikua, zikileta uhuru unaotamani.

‎Hii ni fursa yako ya kwanza, na labda ya pekee leo.
‎Kila siku unayosubiri ni faida unayoipoteza.
‎Kila senti bila mpango ni pesa iliyopotea.

‎Anza sasa.
‎Jua misingi.
‎Badilisha mtazamo wako kuhusu pesa.
‎Na soma kitabu hiki cha ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI ili uwe kama wale ambao wanaingiza pesa wakiwa wamelala.

‎Kukipata ingia hapa 👇

https://wa.link/kj1hrl
‎Karibu.
‎0756694090.