
Kaka/Dada, ngoja nikuambie ukweli…Watu wengi wanashindwa kifedha si kwa sababu hawana pesa.
Kipato chako kinaweza kuwa kikubwa au kidogo… si hicho kinachokushika.
Tatizo ni kutokujua kanuni sahihi ya pesa.
Hiyo ndiyo kamba inayowashika wengi bila wao kujua.
Unafikiri, Sasa nikipata pesa, nitakuwa huru.
Lakini bila kanuni, pesa inaisha, deni linazidi, ndoto zinadhoofika.
Kila mwezi unapopata kipato…
Unaona pesa inakimbia kama maji mtoni.
Ukidhani ni bahati mbaya, unakosa ukweli.
Tatizo sio kipato chako, tatizo ni kutokujua kanuni ya fedha.
Hii ndiyo sababu wengi wanashindwa kuwekeza.
Ebu fikiria…unaingia kwenye duka, unalipa madeni, Kisha unajiuliza kesho nitafanyaje?
Hii stress inaua ndoto, inakufanya ujikute unarudia makosa ya zamani.
Na wakati mwingine, unahisi umepitwa na wakati, umepitwa na fursa.
Lakini hiyo ni hisia, si ukweli.
Sikiliza… Sio kipato chako ndio Kikwazo.
Sio kazi yako, si elimu yako, si mtaa uliopo.
Kinachoshinda wengi ni utajiri wa akili na utajiri wa kanuni.
Unapojua kanuni, hata kipato kidogo kinakupeleka mbali.
Suluhisho ni rahisi… jifunze kanuni sahihi za fedha.
Jifunze kuweka akiba, kupanga bajeti, na kuwekeza.
Elimu Ya Msingi Ya Uwekezaji inakufundisha hatua kwa hatua.
…ni mpango unaoleta matokeo.
Unaanza na shilingi chache, hatua ndogo ndogo, na nidhamu.
Kuna kijana mmoja Temeke.
Alikuwa na kipato kidogo tu. Kila mwezi, pesa yake ilimalizika mapema.
Aliwahi kujaribu njia tofauti, lakini kila njia ilishindikana.
Siku moja alijua kanuni sahihi ya kuweka akiba na kuwekeza.
Alianza na elfu 9,999 tu.
Kila mwezi, alijenga tabia ndogo ndogo.
Ndani ya mwaka mmoja, alikuwa na akiba ya dhahabu, uwekezaji mdogo, na nidhamu ya fedha.
Alinijulisha..
Bro, nilidhani tatizo langu ni kipato, lakini nilikosa tu kanuni sahihi. Sasa hata kipato kidogo kinaweza kunilea.
Na wewe unaweza kuanza leo.
Hata kama umechelewa.
Hata kama makosa ya zamani yamekuumiza.
Anza sasa.
👇 Jifunze zaidi hapa
https://wa.link/kj1hrl
Karibu.
0756 694 090
PS:
Kipato Sio Kikwazo. Kutokujua Kanuni Ndio Kikwazo Cha Kweli.
Usiruhusu Ukosefu Wa Elimu Ya Fedha Ukuangushe Kesho. Anza Leo, Hata Kidogo Kinapanda.