‎Kaka/Dada… hebu kaa karibu.
‎Kuna kitu watu wengi wanakosea kila mwisho wa mwaka na ndicho kinawafanya waingie mwaka mpya wakiwa pale pale.

‎Wengine wanapanga malengo makubwa, mipango mizuri, lakini baada ya miezi miwili… kila kitu kimekufa.

‎Sio kwa sababu hawajui kupanga.
‎Ni kwa sababu msingi wao wa kifedha ni dhaifu.

‎Mwaka mpya ukikaribia, kila mtu anaanza kuandika mipango:
Nitafungua biashara.
Nitaanza kuwekeza.
Nitakua na akiba.
Nitabadilisha maisha.

‎Lakini hujawahi kujiuliza…
‎Unaanza vipi mipango mikubwa bila msingi wa fedha ulio sawa?

‎Tatizo haliko kwenye mipango yako.

‎Tatizo liko kwenye kutokujua kanuni ndogo ndogo za fedha ambazo ndizo zinazobeba mafanikio makubwa.

‎Unapopanga malengo ya mwaka bila kuelewa misingi ya pesa ni sawa na kujenga nyumba juu ya mchanga.

‎Hii ndiyo sababu watu wengi hutafuta mwaka wa mafanikio, halafu mwaka unaisha bila mabadiliko yoyote.
‎Hawajui tatizo ni kanuni… sio kipato.

‎Hebu fikiria kwa sekunde chache…
‎Kila mwaka unajikuta unaanza upya.

‎Unasema, Mwaka huu lazima nibadilike.
‎Lakini unamaliza mwaka ukiwa na presha ile ile, madeni yale yale, stress ile ile ya mwezi ni mrefu kuliko mshahara.

‎Unajikuta unaingia dukani, unalipa bili, unarudi nyumbani ukiwa umechoka.
‎Unaanza kuhisi kama maisha yanakukimbiza.
‎Unaona wenzao wanapiga hatua, wanawekeza, wanafungua biashara, wanajenga, wanakua.

‎Unajiuliza…
Mbona mimi kila kitu kinanigonga? Mimi nimekosea wapi?

‎Unahisi hujakosea chochote.
‎Umekuwa ukijituma, kufata kila kitu, lakini bado hauoni matokeo.

‎Na hapa ndipo wengi wanakata tamaa wanadhani labda Mungu hawaiti, bahati haipo, au maisha magumu yamewaandama tu.
‎Lakini ukweli ni mwingine kabisa.

‎Sikiliza kaka/dada…
‎Tatizo lako sio kipato chako.
‎Sio kazi yako.
‎Sio elimu yako.
‎Sio familia.
‎Sio mtaa unaotokea.

‎Tatizo kubwa la wengi ni kutokujua kanuni sahihi za fedha.

‎Ukizijua, hata kipato kidogo kinaweza kukubeba.
‎Ukikosa, hata kipato kikubwa kinapotea kama hewa.

‎Kwenye pesa, akili inashinda nguvu.
‎Nidhamu inashinda kipato.
‎Kanuni inashinda bahati.

‎Wengi wanaingia kwenye mwaka mpya na malengo mazuri…
‎Lakini wanayaweka juu ya msingi uliolegea.
‎Hakuna akiba.
‎Hakuna bajeti.
‎Hakuna mpango wa uwekezaji.
‎Hakuna uelewa wa mzunguko wa pesa.

‎Halafu wanashangaa kwa nini maisha hayasogei.
‎Kaka/dada mabadiliko ya fedha hayatokei kwa kutamani TU.
‎Yanakuja kwa kanuni.

‎Suluhisho sio kutafuta mwaka bora.
‎Ni kujitengeneza wewe bora.

‎Suluhisho sio kuongeza mipango.
‎Ni kujua kanuni zitakazobeba mipango yako.

‎Ndiyo maana kabla hujaandika mpango wa 2026…
‎Unapaswa kujua misingi ya fedha.
‎Misingi inayoeleweka.
‎Inayofanya kazi.
‎Inayokupa uwezo wa kuanza kidogo na kukua taratibu lakini kwa uhakika.

‎Kitabu Elimu Ya Msingi Ya Uwekezaji ndicho kinachokupa msingi huo.
‎Kinakufundisha:

‎Jinsi ya kuanza na shilingi ndogo.

‎Jinsi ya kuweka akiba bila kujitesa.

‎Jinsi ya kupanga fedha zako kwa akili.

‎Jinsi ya kuwekeza hatua kwa hatua.

‎Jinsi ya kuacha kuwa mteja na kuanza kuwa mwekezaji.

‎Huu sio ushauri.
‎Ni mfumo.
‎Ni ramani.
‎Ni mwongozo ambao ukiufuata, unapiga hatua bila presha.

‎Kuna kijana mmoja Ilala.
‎Mwaka jana alikua kama watu wengi malengo kibao, lakini hakua na msingi.
‎Alikua anaanza mwaka na nguvu, anamaliza akiwa amechoka.
‎Cha ajabu, kipato chake hakikuwa kibaya.
‎Lakini pesa zilikuwa zinapita mikononi kama moshi.

‎Siku moja akapata kitabu Elimu Ya Msingi Ya Uwekezaji.
‎Akanieleza:
Bro… nilichokosa sio pesa. Nilichokosa ni kanuni.

‎Akaanza na buku kwa siku.
‎Akaweka bajeti rahisi.
‎Akaanza kuwekeza kidogo kidogo.

‎Miezi 8 baadaye…
‎Alikua na akiba nzuri.
‎Alikua amepunguza madeni.
‎Alikuwa na nidhamu ambayo hakuwahi kuwa nayo.
‎Na mara ya kwanza katika maisha yake alijisikia kama mtu anayeshika usukani wa maisha yake.

‎Hiyo ni nguvu ya kanuni.
‎Na inaweza kuwa nguvu yako pia.

‎Mwaka 2026 usiukimbilie kwa kukisia.
‎Uingie na msingi.
‎Uingie na kanuni.
‎Uingie na mpango ambao hauanguki.

‎Usianze mipango ya 2026 bila kwanza kusoma ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI.
‎Hiki ndicho kitakupa uwezo wa kuanza kidogo na kufika mbali.

‎👉 Bonyeza hapa kujipatia kitabu sasa:
https://wa.link/kj1hrl

‎👉 Au tuma maneno ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI kwenda
‎0756 694 090

‎PS: Mwaka 2026 Unaweza Kuwa Tofauti Lakini Lazima Uanzie Hapa.