‎Kaka/Dada, ngoja nikuambie kitu ambacho watu wengi wanaogopa kukuambia..

‎Watu wanaweza kukuona kama mtu mwenye akili, mpangaji mzuri, anayejituma, mwenye maono makubwa…

‎…lakini roho yako inajua kitu kimoja ambacho hukisemi.

Mimi sijafika pale ninapotaka.

‎Unaweka juhudi. Unawaza sana. Unapanga kila kitu kwa kalamu, kwa daftari, kwa ndoto.
‎Lakini mambo hayaendi kasi unayotaka.

‎Na pale ndipo maumivu yanaanza.
‎Maumivu ya kimya. Maumivu ya ndani.
‎Maumivu ambayo hujui umwambie nani kwa sababu watu wanaokuona nje, wanaamini uko sawa.

‎Lakini moyoni unajua kuna kitu kinakukwaza.
‎Kuna kizuizi kisichoonekana kinachokufanya usipige hatua unayostahili kupiga.

‎Wakati mwingine unajisemea, Labda muda wangu haujafika.
‎Wakati mwingine unajipa moyo, Nitapambana tu.
‎Lakini ukikaa peke yako, unajiuliza…

Kwa nini wengine wanafanikiwa wakati mimi bado nipo hapa hapa?

‎Na huu ndio uchungu wenyewe.
‎Unaona mtu aliyekua nyuma yako akipiga hatua.
‎Unaona mtu anayefanya vitu vya kawaida kupata matokeo makubwa.
‎Unajiuliza, Hivi nina makosa gani?
‎Unatafuta majibu, lakini hujui yanapatikana wapi.

‎Ngoja nikufunulie kitu ambacho wengi hawajui.
‎Kitu ambacho watu wanaofanikiwa hawasemi waziwazi.

‎Hakuna kinachobadilika bila kujitawala kwanza.

‎Si mipango.
‎Si kurudi shuleni.
‎Si kuanzisha mradi mpya.
‎Si kuamka mapema.
‎Si kusoma vitabu vingi.

‎Vitu hivi vyote ni vizuri lakini havina nguvu yoyote kama wewe hujajitawala ndani.
‎Kwa sababu mpangilio bila nidhamu ya ndani ni nusu ya safari.
‎Na ndoto bila uongozi binafsi ni mzigo tu.

‎Watu wanafanikiwa kwa sababu wamejifunza kuongoza nafsi zao kabla hawajaongoza maisha yao.
‎Wamejua kujidhibiti kabla ya kudhibiti majukumu.
‎Wamejifunza kuzuia vishawishi vya kutowajibika.
‎Wamejua kusema hapana kwenye mambo yanayopoteza muda.
‎Wamejua kutekeleza kitu hata kama hawana mood.

‎Hapo ndipo siri imejificha.

‎Watu wanaokushangaza, wale unaowaona wanapiga hatua kila siku hawako hivyo kwa sababu wana bahati, au wana watu maalum, au wana pesa nyingi.

‎Wako mbele kwa sababu wameamua kujiendesha wao wenyewe bila sababu, bila visingizio, bila kusukumwa.

‎Najua unahisi unastahili zaidi ya unachopata sasa.
‎Najua kuna sauti ndogo ndani yako inayokwambia unaweza kuwa mtu tofauti kabisa.

‎Najua kuna sehemu ndani yako ambayo imechoka kurudia makosa, maisha yale yale, matokeo yale yale.

‎Hebu ngoja nikusimulie hadithi fupi…

‎Mtaani kwetu kulikuwa na jamaa mmoja.
‎Kila mtu alikua anamjua kama mtu wa mipango, mtu wa maneno, mtu wa kesho.
‎Alikuwa anajua kila kitu lakini hageuzi chochote kuwa matokeo.
‎Mwaka baada ya mwaka, alikuwa yule yule mpole, mwenye akili, anayeheshimika lakini ambaye maisha hayabadiliki.

‎Siku moja akasema,
Labda tatizo si maisha… labda tatizo ni mimi.

‎Akaanza kujitawala.
‎Akaanza kujisimamia.
‎Akaanza kutekeleza bila kusukumwa.
‎Akaanza kuamua bila kuogopa maoni ya watu.
‎Akaanza kukataa visingizio vyake vya zamani.

‎Na ndani ya miezi michache, maisha yake yalibadilika.
‎Aliyokuwa akisubiri miaka mingi, alivitimiza Ndani ya muda mfupi.
‎Leo ni mfano kwa wengi.

‎Hata wale waliokuwa wanampita, sasa wanamshangaa.

‎Siri yake ni moja tu…
‎Aliamua kujidhibiti kabla hajajaribu kuidhibiti dunia.

‎Na ukweli ni kwamba,
‎Wewe pia unaweza kuwa mtu huyo.
‎Nyota yako iko pale pale.
‎Fursa zako hazijaisha.
‎Nguvu yako bado haijatumika yote.

‎Unachohitaji ni ufunguo mmoja tu…

‎Ufunguo Huo ni kitabu hiki kipya cha
Falsafa ya Ustoa

‎Kitabu hiki sio stori tu.
‎Ni mwongozo wa maisha.
‎Ni mabadiliko ya ndani yanayozalisha matokeo ya nje.

‎Ni dira ya mtu anayechoka kusukumwa na mazingira, na kuamua kuyaongoza maisha yake mwenyewe.

‎Kama unataka mabadiliko ya kweli si yale ya wiki moja, bali ya maisha yote
‎Basi soma kitabu hiki.

‎Kiko hapa 👇
https://wa.link/524kl0

‎Karibu sana.
‎0756 694 090

‎PS: Unapochelewesha Hatua, Unachelewesha Maisha Yako. Anza Leo.