‎Unapoteza Mwelekeo Kila Siku… Na Hata Hujui….

‎Rafiki Yangu,

‎Hebu simama kidogo.
‎Fikiria maisha yako.
‎Kila siku unaamka.

‎Unavaa.
‎Unatoka.
‎Unakimbia.

‎Unapambana.
‎Unachoka.
‎Lakini swali ni moja.

‎Unaelekea wapi?

‎Watu wengi wanafanya mambo mengi.
‎Lakini hawajui kwa nini wanafanya.
‎Wana ratiba.

‎Lakini hawana mwelekeo.

‎Na hapo ndipo tatizo lilipo.
‎Sio kwamba huna akili.
‎Sio kwamba wewe ni mvivu.

‎Na sio kwamba bahati imekukataa.
‎Tatizo ni moja tu.
‎Huna falsafa ya maisha.

‎Bila falsafa,
‎Unasukumwa na mazingira.
‎Unachezeshwa na hisia.

‎Unachokozwa na maneno ya watu.
‎Leo una motisha.
‎Kesho umevunjika moyo.

‎Leo una ndoto.
‎Kesho umechanganyikiwa.
‎Kila kitu kinakuendesha.

‎Hakuna unachokiongoza.
‎Hapo ndipo watu wengi wanapopotea.
‎Kimya kimya.

‎Bila hata kugundua.

‎USTOA
‎Sio falsafa ya maneno matamu.
‎Sio ya kujifariji.

‎Ni falsafa ya kukaza akili.

‎Inakufundisha kitu kimoja kikubwa:
‎Dhibiti unachoweza kudhibiti.
‎Achana na usichoweza.

‎USTOA inakufundisha kuyatawala mawazo yako.
‎Kabla hayajakutawala.
‎Inakufundisha kudhibiti hisia zako.

‎Kabla hazijakuangusha.
‎Inakufundisha kuweka mipaka.
‎Kwa watu.

‎Kwa matamanio.
‎Kwa hofu.
‎Wengi wanaharibiwa sio na shida.
‎Bali na tafsiri zao za shida.

‎USTOA inabadilisha tafsiri hiyo.

‎Kuna jamaa mmoja nilimfahamu.
‎Alikuwa anahangaika kila siku.
‎Hasira.

‎Wivu.
‎Hofu.
‎Msongo wa mawazo.

‎Kila kitu kilimkera.
‎Maneno madogo yalimuumiza.
‎Hasara ndogo ilimvunja.

‎Alikuwa anapotea kila siku.
‎Lakini hakujua.
‎Mpaka siku moja akakutana na kanuni.

‎Sio motisha.
‎Sio maneno ya kupepesa macho.
‎Kanuni.

‎Alijifunza kujiuliza:

‎Hili lipo ndani ya uwezo wangu au nje?
‎Kama lipo nje,
‎Haliibi usingizi wake.

‎Kama lipo ndani,
‎Anachukua hatua.
‎Polepole,

‎Akawa mtu mwingine.
‎Sio kwa sababu maisha yalibadilika.
‎Bali kwa sababu yeye alibadilika.

‎Hii ndio nguvu wa USTOA.

‎FALSAFA YA USTOA
‎Hiki sio kitabu cha kusoma halafu uweke mezani.

‎Hiki ni kitabu cha kuishi nacho.
‎Ni ramani.
‎Ni mwongozo.

‎Ni dira ya akili.
‎Kinakufundisha jinsi ya kusimama imara.
‎Wakati dunia inatetemeka.

‎Kinakufundisha kuwa mtulivu.
‎Wakati wengine wanachanganyikiwa.
‎Kinakufundisha kuishi kwa kanuni.

‎Sio kwa mihemko.
‎Kama unajisikia:
‎– Unachoka bila sababu
‎– Unawaza sana
‎– Unatetemeka kwa hofu ya kesho.

‎– Unasukumwa na kila kinachotokea.

‎Basi ujumbe huu ni wako.
‎Maisha hayahitaji kelele.
‎Yanahitaji mwelekeo.

‎Na mwelekeo huja kwa falsafa sahihi.
‎Kitabu cha FALSAFA YA USTOA
‎Sio cha kila mtu.

‎Ni cha watu waliokataa kukatishwa tamaa ya kuchezeshwa na maisha.

‎Kama uko tayari kuishi kwa kanuni.
‎Kama uko tayari kuwa imara.
‎Kama uko tayari kuongoza akili yako.

‎Basi hiki ni chako.
‎Unaweza kukipata hapa kwa ofa:
‎👇
https://wa.link/524kl0

‎Karibu.
0756694090.

‎PS: Usingoje maisha yakulazimishe ubadilike.

‎Badilika sasa.
‎Kwa hiari.
‎Kwa falsafa.