‎Rafiki yangu, ukweli ni huu…
‎Maisha si magumu.
‎Tatizo ni wewe kutokuwa na kanuni.

‎Kuishi bila kanuni ni kama kuendesha gari bila mwelekeo.
‎Unaanza, unashuka, una-panic, unaishia kupoteza muda.

‎Unafanya kazi nyingi.
‎Unawekeza muda kwenye mambo yanayokuletea usumbufu, lakini siyo matokeo.

‎Una ndoto kubwa.
‎lakini kila siku unaendelea kujiuliza Kwa nini bado sijafanikiwa?

‎Watu waliobadilika hakika hawakubahatisha.
‎Hawakusubiri bahati ibariki.
‎Hawakujaribu kwa nguvu tu.

‎Walibadilisha siku moja.

‎Na kanuni moja ilibadilisha kila kitu.
‎Ni kanuni rahisi, lakini yenye nguvu.
‎Kanuni Ya Siku Ya MAFANIKIO.

‎Siku moja inaweza kuwa mwanzo wa maisha mapya.
‎Kanuni hii inakuonyesha:

‎Nini cha kufanya leo, bila kupoteza muda
‎Nini cha kuacha, ili hatimaye usishuke.

‎Jinsi ya kupanga hatua zako kidogo kidogo, kila siku.

‎Jinsi ya kushinda hofu, mashaka na kuacha kubahatisha.
‎Rafiki yangu, usipoiweka kanuni hii, utaendelea kubahatisha.

‎Utaendelea kufanya mambo bila mpangilio.
‎Kutafuta matokeo bila mbinu.

‎Na hatimaye, kuishia kuchukia juhudi zako, na kuona wengine wakiendelea mbele.

‎Lakini ukipata kanuni hii, kila kitu hubadilika.
‎Muda unaanza ku-deliver faida.
‎Kila hatua unayoichukua inakuwa uwekezaji kwa maisha yako.

‎Wazo zuri linakuwa hatua.
‎Fursa zinakufuata, sio wewe kuzifuata.

‎Nakumbuka kijana mmoja niliyekutana naye kwenye seminar.
‎Alikuwa na ndoto ya kuanzisha biashara.
‎Alikuwa akifanya kila kitu, lakini matokeo hayakuonekana.

‎Nilimuuliza: Una mfumo wowote wa kufuatilia mafanikio yako?

‎Alijibu kwa kucheka: Mfumo? Hapana. Ninafanya kila kitu kwa bahati.

‎Nikamuambia: Hapo ndipo unapopoteza muda. Weka kanuni moja, na utapata matokeo.

‎Alijaribu.
‎Siku ya kwanza aliweka mpango, aliondoa mashaka yake.

‎Siku ya pili akaufuatilia, akapata matokeo madogo.
‎Siku ya saba, aliweka target ya wiki.
‎Na baada ya mwezi mmoja, ndoto yake ilianza kutimia.

‎Hii sio bahati.
‎Hii ni nguvu ya kanuni moja ya siku ya mafanikio.

‎Nafasi inakuwa wazi.
‎Utaona kilichokuwa kimejificha mapema.
‎Na kila hatua unayoichukua inakuwa uwekezaji wa maisha yako.

‎Rafiki yangu, kitabu hiki kinakufundisha jinsi ya:
‎Kuamua hatua muhimu ya leo
‎Kuacha hofu na mashaka
‎Kuunda mfumo rahisi wa kuendesha maisha yako.

‎Kushinda tabia ya procrastination na bahati mbaya.

‎Kila mtu anayetumia kanuni hii, anakua mwenye amani, uthabiti, na mafanikio.

‎Unapoanza leo, hatimaye unakuwa mtu anayejua nini cha kufanya na nini cha kuacha.

‎Hakuna bahati. Hakuna bahati mbaya.
‎Kila kitu ni matokeo ya kanuni na nidhamu yako.

‎Rafiki, hii ni nafasi yako ya kuacha kubahatisha.
‎Ni wakati wa kuiamsha kanuni ndani yako.

‎Ukiipuuza, utabaki kwenye mzunguko wa kushindwa.
‎Lakini ukiisoma, ukiifuata, kila hatua itakusogeza karibu na mafanikio.

‎Ndoto zako hazitakuwa ndoto tena.
‎Zitakuwa maisha halisi yanayokuletea furaha, amani, na utajiri.

‎Huu ni wakati wako.
‎Sasa.
‎Siku hii ni muhimu zaidi ya jana.

‎👇 Bonyeza hapa uanze safari yako ya mafanikio:

https://wa.link/ztoyw0

‎Karibu.
0756694090.