Kama hutofanya chochote hakuna kitakachotokea… Kama ukifanya chochote, chochote kinaweza kutokea… Ndio unaweza kuishia huna kitu, lakini hapo ndio ulipoanzia. Una nini cha kupoteza? Fanya kitu kubadili maisha yako sasa.
Kama hutofanya chochote hakuna kitakachotokea… Kama ukifanya chochote, chochote kinaweza kutokea… Ndio unaweza kuishia huna kitu, lakini hapo ndio ulipoanzia. Una nini cha kupoteza? Fanya kitu kubadili maisha yako sasa.