Mpendwa Rafiki,

Hakuna aliyezaliwa maskini au tajiri… ni maamuzi na tabia zako ndizo zinazoamua mwisho wako!

✨Siku mmoja Babu mmoja alimwambia mjukuu wake,

“Ndani yako kuna mbwa wawili – mmoja wa uvivu na mwingine wa juhudi.

Yule unayemlisha zaidi, ndiye atakayekutawala!”🔥

Je, unawalisha uvivu na visingizio au unawalisha nidhamu na juhudi?

📚 Kitabu cha *TABIA ZA KITAJIRI” kitakufundisha tabia za ushindi!

📥 Lipia Sasa Upate Nakala Yako.

Hapa 👇 *https://vitabu.somavitabu.co.tz/#/view/shop-item/36/*

Karibu.

0756694090.