‎Kaka/Dada, ukweli ni huu mwezi unaisha, mshiko hakuna.

‎Unataka kupiga simu, huna salio.
‎Unatamani hata kunywa soda ya baridi lakini mfuko uko dry.

‎Unaamka kila siku ukiwa na ndoto kubwa, lakini hela huna hata ya mafuta ya kupikia.
‎Unajiambia, “Nitabadilika.” Lakini unaanzia wapi?

‎Na mbaya zaidi, kila siku mitandaoni unawaona wengine wanapiga picha na magari, wanafungua biashara, wanaishi kama sinema.
‎Wewe unabaki na kulike tu.

‎Hakuna pesa inayoingia. Hakuna unachouza.
‎Na jamaa zako? Wanakudharau kimya kimya.

‎Wanaona hauna mpango.
‎Unajisikia kama failure.
‎Ila hujui siri yao ni nini…
‎Na wamekuficha.

‎Leo nakufunulia siri yao..

‎Siri ni hii bro -MAUZO!
‎Ndiyo, wanajua kuuza na fedha zote unazoona wanazo zimetokana na kuuza.

‎Wengi wanadhani mauzo ni kazi ya watu wa masoko tu.
‎Wanaona ni aibu.
‎Lakini ukweli ni….
‎Matajiri wengi unaowaona leo, walianza kwa kuuza kitu:

‎Idea,

‎Bidhaa,

‎Huduma,

‎Hata wao wenyewe (in a good way bro, branding).

‎Unataka kubadilisha hali yako?

‎Anza kuuza leo. Ndiyo leo sio kesho.
‎Na huanzia mbali.
‎Unaweza kuuza vitu vya kawaida:

‎Perfume ndogo,

‎Tshirt tamu za mtaa,

‎Jipatie kitu cha kipekee online, na uanze Kukiuza.

‎Uza kupitia WhatsApp, Instagram, TikTok.

‎Wateja wako wapo.
‎Wanangoja ujitokeze.
‎Na kumbuka: Mauzo siyo kulazimisha.

‎Ni kumsaidia mtu kupata kile anachohitaji.
‎Ukiwa mkweli, wateja hurudi wenyewe.

‎Bado namkumbuka….

‎Kuna jamaa yangu anaitwa Mike.
‎Alikuwa mtaani pale Tandale.
‎Kijana wa kawaida.

‎Alianza kuuza manukato kwa marafiki zake tu WhatsApp.

‎Hali ilikuwa ngumu Sana,

‎Kwasababu alikuwa hajui kuuza vizuri, na kupelekea kupewa ahadi za uongo.

‎Kidogo akate tamaa, mambo yalianza kubadilika pale alipokutana na Kitabu hiki cha CHUO CHA MAUZO.

‎Kwenye Blog Ya amkamtanzania.com .

‎Kwani kilimsaidia kujifunza mbinu zaidi 70 za mauzo,

‎…kuanzia jinsi ya kupata wateja wake, kuwashawishi na kufanya warudi tena na tena.

‎Akaanza kuchukua hatua Ndogo ndogo….

‎Kama kupost picha moja, na kuandika ujumbe wa maana.

‎Mfano wa ujumbe ni kama huu….

‎“Unataka kunukia kama mamilionea kwa elfu 10 tu? Nipigie.”

‎Baada ya miezi 6, alikuwa anaingiza laki 4 kwa wiki.

‎Leo hii ana kiosk chake na anaagiza mzigo mwenyewe.
‎Hana hata degree.
‎Hana ofisi.
‎Lakini ana mpango.

‎Na watu waliomcheka, sasa wanamuuliza, “Boss, unawezaje?”

‎Mike anabaki anatabasamu TU!

‎Kama Mike aliweza, wewe je?

‎Usingoje miujiza.
‎Anza kuuza.
‎Kitu chochote.
‎Mahali popote.
‎Kwa yeyote.

‎Hapo ndipo pesa ilipojificha kwenye MAUZO.

‎Kuungana na Mike anzia hapa 👇
https://wa.link/361rh0

‎Karibu.
‎0756694090.

‎Hii Makala Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan Amir.








‎.