‎‎Bro, hebu niambie ukweli…

‎Umeshawahi kujiuliza kwanini bado maisha yako yanasuasua?
‎Kila siku unakaza, lakini bado unazunguka mduara ule ule.

‎Mapato madogo, madeni makubwa.
‎Kazi unayo, lakini pesa haikai.
‎Hii siyo hali ya kawaida… hii ni laana ya umaskini.

‎Na mbaya zaidi?
‎Laana hii inarithishwa.
‎Kama hutaivunja, watoto wako watairithi kama jina la ukoo.

‎Hebu fikiria…
‎Umesota miaka yote.
‎Halafu mtoto wako anaanza upya na umasikini ule ule ulioanza nao?

‎Unampeleka shule kwa shida,
‎anakula ugali na maharage kila siku.
‎Halafu akifaulu, hakuna karo ya chuo.

‎Anarudi mtaani, kama vile ulivyoanza.
‎Akiwa na ndoto kubwa, lakini hana njia.
‎Ni kama amefungwa minyororo ya chuma miguuni.

‎Bro… hiyo sio kosa lake.
‎Ni mzigo ulioubeba, na sasa unamtwisha.
‎Ni laana unayoiacha ikiwa hai.
‎Na huwezi kuitoroka.

‎Wengi huamini umasikini ni mpango wa Mungu.
‎Wengine husema: “Bora tu niwe na afya.”
‎Wengine hudanganywa eti pesa ni chafu.

‎Lakini ukweli ni huu:
‎Umasikini siyo ibada.
‎Na siyo mapenzi ya Mungu.

‎Ni ujinga unaorithishwa.
‎Ni ukosefu wa maarifa ya pesa.
‎Ni mfumo wa kufikiri wa kimaskini.

‎Ni hadi utakapobadilisha mfumo huo, utaendelea kuteseka kwa heshima ya kishetani.

‎Unataka kuivunja laana ya umaskini?
‎Kwanza, acha visingizio.
‎Kisha jifunze pesa.

‎Jifunze kuitafuta, kuidhibiti, na kuikuza.
‎Usikimbilie ‘miradi’ bila maarifa.
‎Usikopeshe bila akili.

‎Usitumie kabla hujapanga.
‎Elimu ya fedha ni silaha ya kupasua laana hii.

‎Anza kusoma vitabu vya pesa.
‎Sikiliza watu waliotoka mbali.
‎Fuata wanaojua, sio wanaodanganya.

‎Na hakikisha watoto wako wanaanzia pale ulipoishia—siyo pale ulipoanzia.


‎Namjue jamaa mmoja anaitwa Hamis.
‎Alikuwa fundi viatu Kariakoo.
‎Alifanya kazi kwa mikono hadi vidole vikachubuka.

‎Lakini hela haikukaa.
‎Kila siku anakopa kwa “Fulani” ili ale.
‎Siku moja akachukua kitabu cha Elimu Ya Msingi Ya Fedha nilichompa.

‎Alianza kujifunza, kaweka mpango.
‎Kila jioni akaweka buku 3.
‎Mwaka mmoja baadaye, akafungua kibanda cha pili.

‎Leo hii, anaajiri vijana wawili, na ana watoto wanasoma shule ya kulipia.

‎Laana ya umaskini kwao ilikufa rasmi.

‎Sasa swali ni moja:

‎Wewe je?
‎Utaivunja lini hii laana?
‎Au utaiacha kwa watoto wako kama warithi wa huzuni?

‎Kama unataka kuivunja laana ya umaskini.

‎Bonyeza hapa 👇

https://wa.link/mvjjlu

‎Au Tuma ujumbeNATAKA KUVUNJA LAANA YA UMASKINI

‎Kwenda 0756694090.

‎Karibu.
‎Hii Makala Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan Amir.