
Kakaa/Dadaa Yangu….
Kuna watu wanapiga kazi usiku na mchana…
Lakini bado maisha yao hayatembei.
Wengine wanaamka saa 11 alfajiri…
Wanakuwa bize kuliko rais…
Lakini bado mafanikio ni ndoto.
Tatizo ni nini?
Si kazi.
Si bidii.
Si maarifa.
Ni matumizi ya muda.
Hii kitu inaamua kama utapiga hatua…
Au utapiga miseleleko miaka nenda miaka rudi.
Kuna wakati nilikuwa hivyo hivyo…
Nabana saa. Naandaa ratiba.
Najiandikia malengo.
Naishia kuvuruga kila kitu.
Nilidhani tatizo ni uvivu.
Kumbe la!
Tatizo ni kutokujua kutumia muda kwa akili.
Muda ni zawadi ambayo Mungu huwapa wote.
Maskini ana saa 24.
Bilionea naye ana saa 24.
Kwanini basi mwingine anatoboa…
Na mwingine anahangaika?
Sababu ni hii:
Aliyetoboa alijifunza kutumia muda vizuri.
Na aliyefeli aliuchukulia muda poa.
Sasa basi, kama na wewe unahisi…
Muda unakukimbia…
Malengo yako hayaendi kama ulivyopanga…
Kila mwaka unaanza upya…
Au kila siku unashindwa ku-manage majukumu yako…
Basi unahitaji kusoma kitabu hiki cha MUDA UPO.
Ndani ya kurasa chache tu…
Utajifunza:
Njia za kuuteka muda wako.
Kanuni za kupanga siku zako kwa akili.
Na mbinu za kuacha kuwa busy bila matokeo.
Basi unahitaji kusoma kitabu hiki cha; MUDA UPO.
Ndani ya kurasa chache tu…
Utajifunza:
Njia za kuuteka muda wako.
Kanuni za kupanga siku zako kwa akili.
Na mbinu za kuacha kuwa busy bila matokeo.
Hii si hadithi tu, ni ukweli niliouishi.
Nilikuwa mtu wa kuchelewa kila mahali.
Nilikuwa nachelewa kulipa madeni, Nachelewa kufanikisha mipango…
Hadi nikaambiwa, Wewe ni mtu wa visingizio.
Siku moja nikasoma kifungu kimoja tu cha kitabu hiki.
Nikagundua kosa langu moja kubwa:
Nilikuwa nafanya kazi nyingi, si kazi sahihi.
Tangu hapo, mambo yalibadilika.
Nikaanza kudhibiti siku zangu.
Nikaanza kuona matokeo ya kweli.
Basi sasa nakupa nafasi hii…
Usikubali tena kupoteza siku zako kwa maneno ya nitaanza kesho.
Usikubali muda wako uchezwe kama drafti ya mitaani.
Soma kitabu hiki cha MUDA UPO
Hautakuwa mtu wa kulalamika tena.
Utaanza kuishi kwa mpangilio.
Na mafanikio yatakufuata bila kuvutana nayo.
MUDA UPO. Ila je, wewe uko tayari kuutumia vizuri?
Kama jibu lako ni ndiyo,
Basi weka oda yako, kwasababu vimebaki vichache, kuwahi chako bonyeza hapa
👇
https://wa.link/9nwnfg
Karibu.
0756694090.
Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan Amir.