📍Kama Hutawafundisha, Dunia Itawafundisha Vibaya

‎Wewe ni mzazi. Mlezi. Mshauri.
‎Lakini unaacha mtoto wako anajifunza pesa kutoka TikTok?
‎Anaona “kuvisha mbwa viatu vya Gucci” kama mafanikio?

‎🧠 Kumfundisha mtoto wako nidhamu ya pesa, ni sawa na kumpa kinga ya maisha.
‎Sio tu kitabu darasani. Ni silaha ya kuishi kesho bila kuwa tegemezi.

‎👕 Na usidhani ni kazi ya shule. Hapana! Huko wanawafundisha tu kujumlisha. Sio kutunza. Sio kuweka akiba. Sio kuwekeza.

‎Unampa buku…
‎Anaenda kununua soda, chipsi, na big G.
‎Kesho, anakuomba tena. Na tena. Na tena.

‎Hakujui kama pesa ina mipaka.
‎Hajui kama pesa huumiza.
‎Na hajui kama pesa hutoka kwa jasho.

‎Sasa fikiria…
‎Akiwa na miaka 25?
‎Atakuwa na madeni, mikopo, na maisha ya kuazima azima.
‎Na utasema ulimpenda sana?

‎Wazazi wengi wanasema:
‎”Aaah, ni mtoto tu bwana…”
‎Lakini kesho huyo mtoto atakuwa mtu mzima asiyejua kuvumilia.

‎Asiyejua kupanga matumizi.
‎Asiyejua kuweka hela kabla ya kuitumia.

‎👉 Unampeleka tuition ya Hisabati,
‎lakini hujampeleka kwenye tuition ya MAISHA.

‎Umefeli.

‎Tuna kitabu kipya.
‎Rahisi. Kina picha. Kina mazoezi.
‎Lakini kina NIDHAMU YA FEDHA iliyojaa ndani.

‎Mtoto wako atajifunza:
‎💰 Jinsi ya kuzalisha na kuhifadhi hela yake mwenyewe.
‎📦 Jinsi ya kutofautisha “HITAJI” na “TAMAA.”
‎📊 Jinsi ya kuanza biashara ya kipekee akiwa nyumbani.

‎Hii si hadithi.
‎Ni maisha mapya.

‎👧🏾👦🏽Mtoto Mmoja Alianza Na Buku Tu Leo Anaingiza 10,000 Kwa Wiki!

‎Anaitwa Imani. Ana miaka 10 tu.
‎Baada ya kusoma kitabu cha NGUVU YA BUKU TOTO,
‎Alichukua maziwa na sukari nyumbani, akaanza kuuza ice-candy.

‎Alisema hivi:
‎”Nilijifunza kuwa hela haitokei hewani. Inahitaji mpango. Sasa najua kuweka akiba na kuandika matumizi yangu.”

‎Leo, ana akaunti ya benki.
‎Ana bajeti yake.
‎Na anajua kusema “hapana” kwenye matumizi yasiyo ya lazima.

‎Na bado ni mtoto mdogo.

‎💥 Fanya Uamuzi Wa Busara Leo

‎Badala ya kununua “bubble gum” — mnunulie maarifa.
‎Badala ya kumnunulia “game mpya” — mpe mwelekeo wa maisha.

‎👉 Agiza kitabu cha NGUVU YA BUKU TOTO kwa mwanao leo.

‎Kwa kubonyeza hapa 👇

https://wa.link/y14f5h

‎Huu si msaada,
‎Ni urithi wa maisha.

‎Karibu.

0756694090
‎Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana.
‎Mkufunzi Ramadhan Amir.