‎Siku moja jioni, mama akiwa jikoni na baba akisoma gazeti, mtoto wao mdogo Kito, wa miaka 6, aliwaangalia kwa macho ya kutafuta majibu, kisha akauliza:

‎“Mama, baba… fedha ni nini?”

‎Wote walitazamana kimya… swali la kawaida, lakini wakagundua hawajawahi kukaa chini kumfundisha mtoto wao kuhusu pesa.

‎Kwa haraka mama akasema,
‎”Fedha ni kitu cha watu wazima, Kito.”
‎Baba akaongeza,
‎”Utakapo kuwa mkubwa utaelewa.”

‎Lakini usiku huo, hawakulala vizuri.

‎Walijiuliza:

‎Je, kwanini tusimfundishe sasa?

‎Mbona watoto wanafundishwa hesabu, sayansi na lugha lakini si fedha?

‎Tutaishia kumlea ili aje kuwa mtumwa wa fedha kama sisi?

‎Hapo ndipo safari yao ilianza.

‎Wakaanza kutafuta vitabu, kozi na njia sahihi ya kumfundisha Kito kuhusu pesa si kwa maneno, bali kwa tabia: kuhifadhi, kutumia kwa busara, na kuzalisha.

‎Ndipo wakagundua kitabu cha ajabu kilichoandikwa kwa lugha ya mtoto,

‎… kinachomwonyesha mtoto jinsi ya kuokoa, kuwekeza, na kujenga nidhamu ya fedha mapema kinaitwa Nguvu Ya Buku Toto.

‎Kito alianza kuandika ndoto zake, kuhesabu akiba yake ya kila siku, na hata kuanzisha mradi wa kuuza keki za shuleni na fedha zake za mfukoni!

‎Aliendelea kuuliza maswali zaidi  lakini sasa, wazazi walikuwa na majibu sahihi.

‎🎯 Je, ungependa mtoto wako aelewe fedha mapema, awe huru kifedha, na ajifunze nidhamu ya fedha kabla hajakomaa?

‎Sasa ni wakati wa kuchukua hatua.

‎📗 Pata Kitabu cha Nguvu Ya Buku Toto kwa kubonyeza hapa
‎👉 https://wa.link/l1zo5h

‎Jiunge pia na harakati ya Nguvu Ya Buku tunawajenga watoto wa leo kuwa mamilionea wa kesho kwa msingi sahihi.

‎📚 Mtoto asiyejua fedha, huishia kuwa mtumwa wa fedha!

‎Karibu.
‎0756694090.

‎Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Ramadhan Amir

‎Mwandishi Wa Vitabu| Mkufunzi Wa Mauzo Yenye Matokeo | Kocha Wa Mafanikio Ya Mauzo