‎Rafiki yangu,

‎Leo nataka nianze kwa kuambia ukweli huu ambao wamekuwa wanakuficha kila siku….

‎Ukweli ni kwamba…

‎Maisha yako hayawezi kubadilika kama bado hujajitawala.

‎Watu wengi wanalaumu mazingira, uchumi, au watu wengine…

‎Lakini kiukweli, adui mkubwa yupo ndani yao wenyewe.

‎Unasema unataka mafanikio, lakini huwezi kujizuia kuchelewa.

‎Unasema unataka amani, lakini hasira zako ndizo zinakuongoza.

‎Unasema unataka pesa, lakini kila senti unaitumia ovyo.

‎Huo ndio mtego unaowakamata wengi…

‎Wanataka matokeo makubwa bila nidhamu binafsi.

‎Lakini usijidanganye, hakuna mafanikio bila kujitawala.

‎Watu waliobadilisha maisha yao hawakuanza kwa bahati,
‎walianza kwa kudhibiti fikra zao, muda wao, na matendo yao.

‎Ujue, kujitawala ni kama kufuga moto ndani yako.
‎Ukiacha moto huo uende porini, utateketeza kila kitu.

‎Lakini ukiuweka kwenye tanuru sahihi, utakuchomea mafanikio.

‎Nilimfundisha kijana mmoja ambaye alikuwa anaharibu kila nafasi.
‎Alikuwa na uwezo mkubwa, ila hasira na uvivu vilimwangusha.

‎Tulianza safari ya kujenga nidhamu.. kuamka mapema, kusoma kila siku,
‎na kufikiri kabla ya kuamua.

‎Miezi sita baadaye, alianza kubadilika.
‎Leo ni mmoja wa vijana wanaoongoza biashara yake mtaani kwake.

‎Siri haikuwa pesa, wala msaada ilikuwa kujitawala.

‎Kujitawala ndiyo msingi wa mabadiliko ya kweli.
‎Unapojifunza kujidhibiti, maisha yako yanatii.

‎Unakuwa bosi wa akili yako, sio mtumwa wa tamaa zako.
‎Na hapo ndipo unapoanza kutengeneza maisha unayotaka, si yale unayopewa.

‎Kama umechoka kuishi maisha ya kubahatisha,
‎ni muda wa kujifunza sayansi ya kujitawala.

‎Ndiyo maana nakusihi usome kitabu hiki kipya cha FALSAFA YA USTOA.

‎Kitabu hiki kinakufundisha hatua kwa hatua namna ya kujenga nidhamu ya ndani,
‎kujua lini utoe, lini ujizuie, na jinsi ya kutumia nguvu zako kwa busara.

‎Ukikisoma, utagundua kwamba mabadiliko ya nje yanatokana na mapinduzi ya ndani.

‎Maisha yako hayatabadilika hadi wewe mwenyewe uwe tayari kubadilika.

‎Anza leo.
‎Jitawale kwanza, halafu maisha yako yatatii.

‎Anyway,

‎Kujifunza zaidi soma kitabu hiki kipya cha FALSAFA YA USTOA

‎Kukipata anzia hapa 👇

‎👉 https://wa.link/524kl0

‎Karibu.
‎0756694090