Rafiki Yangu,

‎Kuna watu wengi sana wanafanya kazi usiku na mchana, lakini bado fedha inawakimbia.

‎Unapata mshahara leo, ndani ya siku 15 huna hata mia mfukoni.
‎Unajiuliza, Hivi pesa yangu inaenda wapi?

‎Siri ni moja tu fedha imekukataa.
‎Umeifanya adui yako bila kujua.

‎Sasa ngoja nikuambie kitu ambacho shule haikukufundisha…

‎Fedha ni kama rafiki mzuri.
‎Inahitaji utunzaji, heshima, na mpangilio.
‎Ukijua jinsi ya kuishi nayo vizuri, itakupenda.

‎Ukiona pesa kama kitu cha kuipoteza haraka, itakutoroka haraka zaidi.

‎Wengi tunalalamika hatuna pesa, lakini ukweli ni kwamba hatujui kuishi na pesa.

‎Tunaitumia vibaya, tunaitisha mkopo kwa hasira, tunanunua vitu vya kuonyesha, si vya kutengeneza.
‎Tunapanga kutumia kesho, lakini hatupangi kuwekeza leo.

‎Ndiyo maana kila mwezi unarudia historia ileile unapata, unatumia, unalalamika.

‎Lakini hebu fikiria hivi…
‎Kama ungeanza kuitazama fedha kama rafiki, ungefanyaje?
‎Rafiki unampangia muda, unamjali, unamfahamu tabia zake.

‎Hivyo ndivyo unavyotakiwa kufanya na fedha.
‎Unapaswa kuijua tabia yake.
‎Fedha inampenda mtu anayejua kuipanga.
‎Inampenda mtu anayejua kuizalisha.

‎Inampenda mtu anayejua kuiheshimu.

‎Hii hapa siri:
‎Usitumie fedha yako yote.
‎Anza na buku moja, iweke pembeni kila siku.
‎Tengeneza tabia ya kuwekeza hata kidogo, lakini kwa uthabiti.

‎Fedha ikiona unaiamini, inaanza kukuamini pia.
‎Inaongezeka polepole hadi unashangaa kumbe siri ilikuwa nidhamu tu!

‎Ninajua unafikiri huwezi kuwekeza kwa kipato chako cha sasa.
‎Lakini ukweli ni huu, hakuna kipato kidogo kwa mtu mwenye akili kubwa.

‎Tatizo si kiasi cha pesa, ni namna unavyoitazama.
‎Wengine walianza kwa elfu moja, leo wana biashara zinazowalipa milioni.

‎Walianza tu wakati wengine walikuwa wanasubiri mshahara mkubwa.

‎Nikupe mfano wa kweli kabisa…
‎Kuna jamaa mmoja aliyeamua kujiwekea buku moja kila siku.
‎Kila siku, bila kukosa.

‎Miaka miwili baadaye, alianza biashara ndogo ya kuuza juisi.
‎Leo ana kiwanda kidogo cha vinywaji, na anasema jambo moja tu:
Nilipoanza kuiheshimu pesa, ndipo pesa ilipoanza kuniheshimu mimi.

‎Ndugu yangu,
‎Fedha si adui yako.
‎Ni silaha yako ya uhuru, lakini kama huijui, itakupiga wewe.
‎Ukitaka kuishi maisha ya amani ya kifedha, jifunze kuifanya pesa iwe rafiki yako.
‎Anza kuwekeza, jifunze misingi ya fedha, jenga tabia mpya leo.

‎Na kama unataka kujua jinsi ya kulala huku pesa zako zikikufanyia kazi,

‎Basi soma kitabu hiki cha ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI.

‎Kitakufundisha namna ya kujenga urafiki wa kweli na fedha.
‎Urafiki utakaokufanya uitawale, badala ya kukutawala.

‎Bonyeza hapa 👇 kukipata kwa ofa,

https://wa.link/kj1hrl

Karibu.

0756694090.

‎PS: Fedha Ni Rafiki Mzuri Sana…
‎Lakini Ni Adui Mbaya Usipomuelewa.