Rafiki Yangu,

‎Siri Hii Haifundishwi Shuleni…

‎Kila mwezi unaanzia sifuri.

‎Mshahara ukifika mambo yanapendeza.
‎Wiki ya pili simu ya M-Pesa inasubiri *imethibitishwa*.

‎Mwisho wa mwezi akili inachoka kuliko mwili.
‎Halafu unajiambia, Mwezi ujao nitajipanaga vizuri.

‎Lakini bado historia inajirudia kama movie.

‎Tatizo sio kipato chako.
‎Tatizo ni mfumo wa kifedha usio na msingi wa uwekezaji.

‎Tunajua kutumia, lakini hatujafundishwa kukizalisha tulicho nacho.

‎Tumezoea kuishi kwa matumaini, si kwa mpango.
‎Huo ndiyo mtego unaowatesa watu wengi wazima kimya kimya.

‎Na ukweli unaouma ni huu…
‎Haujawahi kufilisika kwa sababu ya pesa haitoshi,

‎Umefilisika kwa sababu pesa haijawahi kukuzalishia pesa nyingine.

‎Hiyo ndiyo tofauti kati ya mtu anayechoka na mtu anayekua.

‎Sasa hebu fikiria hivi kabisa…

‎Kama ungekuwa na chanzo cha fedha kinachokulipa bila kusukuma gurudumu kila siku…

‎Kama fedha ingeanza kukufanyia kazi hata ukiwa unapumzika, kusafiri, wagonjwa, au bila kazi…

‎Je, leo ungekuwa unateseka na presha ya mwisho wa mwezi?

‎Kuanzia Leo….

‎1. Anza kuwekeza mapema kuliko kesho
‎2. Anza kidogo kuliko kusubiri ukamilike
‎3. Tengeneza mfumo, sio bahati
‎4. Jifunze, sio kubahatisha
‎5. Fanya fedha iwe kibarua wako, si wewe kuwa kibarua wake

‎Kuna dada mmoja aliyechoka kuishi mwezi hadi mwezi.

‎Akaanza kuweka 1,500 tu kila siku kwenye mpango maalum wa uwekezaji mdogo.

‎Baada ya miaka miwili aliweza kuanzisha biashara ya bidhaa za watoto mtandaoni.

‎Leo, kipato chake cha ziada kinalipa kodi ya nyumba, bila kugusa mshahara wake.

‎Kauli yake ni moja:
Nilipoamua kuwekeza, ndipo maisha yangu yalibadilika

‎Ndugu yangu…
‎Kuanza upya kila mwezi si hali ya kawaida ni ishara ya kukosa mfumo wa kifedha.

‎Usisubiri pesa nyingi ndipo uanze,
‎anza na ule msingi unaokusaidia bila kukuvunja moyo.

‎Na kama unataka mwongozo rahisi, usioumiza kichwa,

‎Basi soma kitabu Cha ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI.

‎Kukipata kwa ofa unaweza kubonyeza hapa 👇

https://wa.link/kj1hrl

‎Karibu.
‎0756694090.

‎PS: Kuanza Upya Kila Mwezi Si Laana
‎Ni Ishara Kwamba Kuna Kitu Hujakijua.
‎Jifunze Leo.