‎Kaka, watu wengi leo wanaishi wakihangaika.
‎Wanapambana na dunia.
‎Wanapambana na watu.
‎Wanapambana na majanga.

‎Lakini wanashindwa kuona kitu kimoja muhimu…
‎Ushindi wa nje hauanzi nje.
‎Ushindi wa nje unaanzia ndani.

‎Tatizo bado lipo pale pale:
‎Watu wanajiona hawatoshi.
‎Wanajiona wanachelewa.
‎Wanajiona maisha ni magumu kupita uwezo wao.
‎Na yote haya, chanzo chake sio dunia…
‎Ni ule msukumo wa ndani uliodumaa.

‎Wengi hawajaambiwa kuwa nguvu ya kwanza ya kutengeneza matokeo, haipo mikononi mwa serikali, haipo kwenye mazingira, haipo kwa ndugu,
‎ipo kwao wenyewe.

‎Na hii ndiyo inasikitisha.
‎Maisha yanabadilika, lakini watu bado wanaishi kwa mode ya kupambana na kila kitu.
‎Kila siku wana macho mekundu.
‎Kila siku wanabeba hofu.
‎Kila siku wanaona kila mtu ni adui wa safari yao.

‎Wanasahau jambo moja rahisi:
‎Kama ndani yako kuna vurugu… dunia itakupiga tu kirahisi.

‎Unakuwa mtu wa kuchoka haraka.
‎Mtu wa kukata tamaa.
‎Mtu wa kufiwa na ndoto kabla hata hazijaanza.
‎Ukiwa hujashinda ndani, hata nafasi nzuri ukipewa, unaiharibu.
‎Hata fursa ukipewa, unaiogopa.
‎Hata mtu akikuamini, wewe mwenyewe unajiangusha.

‎Maumivu ya ndani huwezi kuyakwepa.
‎Ukikimbia leo, yatakurudia kesho kwenye sura mpya.

‎Watu wengi wanaamini ushindi ni pesa.
‎Wengine wanaamini ushindi ni koneksheni.
‎Wengine wanaamini ushindi ni kuonekana.

‎Lakini ukweli hauko huko.
‎Ushindi wa kweli ni kujitawala.
‎Kudhibiti hisia.
‎Kupanga akili.
‎Kujipa nidhamu hata kama hutaki.
‎Kuamua kuwa mtu mpya hata kama jana ulivunjika.

‎Hicho ndicho kitu kinachoangusha wengi:
‎wanataka mafanikio ya nje bila marekebisho ya ndani.

‎Huwezi kujenga jengo imara juu ya msingi uliolegea.
‎Ukiendelea kusukuma nje bila kujenga ndani, utachoka vibaya.
‎Na ukichoka ndani… hakuna mtu wa kukurudisha.

‎Suluhisho linaanzia kwenye hatua ndogo.
‎Kimya kimya tu.
‎Bila makelele.
‎Bila kujitangaza.

‎● Anza kujisikiliza.
‎● Anza kutengeneza utulivu wako.
‎● Anza kupambana na uvivu wako.
‎● Anza kujenga nidhamu ya maamuzi yako.
‎● Anza kujitawala kabla ya kutawala mazingira.

‎Ukitengeneza nguvu ya ndani, dunia inakuwa nyepesi.
‎Maamuzi yanakuwa mepesi.
‎Maumivu yanakuwa daraja, sio kikwazo.
‎Changamoto zinakuwa mwalimu, sio adui.

‎Na hapo ndipo ushindi halisi unaanza kuonekana kwa nje.
‎Si kwa makelele, si kwa presha,
‎…bali kwa mwendo wa uhakika.

‎Na kuna kitabu kinachofundisha hii sayansi, kwa lugha rahisi…

‎Kitabu hicho kinaitwa
FALSAFA YA USTOA.

‎Hiki kitabu hakikufunzi tu ukue.
‎Kinakufundisha jinsi ya kujenga msingi wako wa ndani, ule unaofanya dunia isipige kelele ikakuangusha.

‎Nikwambie stori fupi ya jamaa yangu mmoja niliyemfahamu.
‎Kila siku alijiona anachelewa.

‎Kila siku anawaza labda bahati haipo upande wangu.
‎Kila kitu alikifanya kwa hofu, kwa kusukumwa, kwa kulazimishwa.

‎Mpaka siku moja akaamua kufanya kitu kimoja tu…
‎kujijenga ndani.
‎Akaanza na tabia ndogo:
‎kuamka mapema,
‎kusoma kurasa chache kila siku,
‎kupunguza maneno,
‎kuongeza utulivu,
‎kufikiri kabla ya kuchukua hatua.

‎Haikuchukua miezi mingi.
‎Akatulia.
‎Akatengemaa.
‎Akaanza kufanya maamuzi sahihi.
‎Akaanza kupata fursa ambazo zamani alikuwa anazikwepa kwa woga.
‎Akaanza kujiamini.
‎Akaanza kushinda kimya kimya.

‎Na watu wakaanza kumuuliza:
Bro, umewezaje kubadilika hivi?

‎Jibu lake lilikuwa moja:
Nilijenga ndani yangu kwanza.

‎Kaka, hii ndiyo formula.
‎Hii ndiyo siri watu wanayoisahau.
‎Hii ndiyo nguvu ya maisha.

‎Kukipata kwa ofa basi ingia hapa 👇

https://wa.link/524kl0

‎Karibu.
‎0756694090.

‎PS: Ushindi Huanzia Ndani.
‎Usipojenga Ndani… Nje Utakuumiza Kila Siku.