‎Kaka/Dada.
‎Watu wengi wanadhani wanayatawala maisha yao.
‎Lakini ukweli ni kwamba…
‎Hisia zao zinawatawala zaidi ya wanavyofahamu

‎Hofu, hasira, woga, hofu ya kupoteza, uchoyo…
‎Zinaweza kukuangusha kimya kimya.
‎Kuna mtu anafikiri yupo huru, lakini kila siku anakua mtumwa wa hisia zake.

‎Ni rahisi kusahau…
‎Hisia ni nguvu isiyo na mwongozo.
‎Kila hisia ikitawala, unakimbia, unasita, unapoteza.
‎Na mara nyingi, unajiuliza kwa nini maisha yanakupiga bila sababu.

‎Hebu fikiri…
‎Ni wangapi wanapoteza nafasi ya biashara, mapenzi, au ndoto zao,
‎wakisukumwa na hofu tu?
‎Ni wangapi wanachelewa, wanakosa mwendo, wanachoka kabla hata ya kuanza?

‎Hasira huleta uvivu wa akili.
‎Woga huunda vizuizi visivyoonekana.
‎Uchoyo unakufanya uone kila mtu ni adui.

‎Na bado, wengi wanadhani hii ni bahati mbaya.
‎Wanasahau… hisia zao ndizo zinazotawala kila hatua yao.

‎Watu wengi wanajaribu mbinu za nje:

‎Kutafuta mentor

‎Kupata pesa zaidi

‎Kujiunga na makundi au network

‎Lakini hizi hazitakusaidia kama hujatimiza kidhibiti cha ndani.

‎Ushindi wa kweli hauanzi na pesa, network, au nafasi.
‎Unaanza na kudhibiti hisia zako.
‎Ukishadhibiti hisia zako…

‎Woga unakatazwa

‎Hasira inatawala kidogo kidogo

‎Uchoyo unapotea

‎Uwezo wako unafunguliwa

‎Yote yanatokea kimya kimya, lakini matokeo ni makubwa.

‎Suluhisho ni rahisi…

‎Kila siku, tambua hisia zinakuongoza wapi.

‎Kila hisia ukiona haifai, Nenda kinyume chake.

‎Anza kudhibiti uvivu na hofu.

‎Anza kuchukua hatua ndogo, hata kama akili yako inakataa.

‎Jenga utulivu wa ndani, hatua kwa hatua.

‎Kila hatua ndogo ni kushinda kidogo kwa kidogo.
‎Ukishinda kidogo kidogo, hisia hazitaweza kukuangusha tena.
‎Unaanza kuwa huru, thabiti, na mwenye nguvu.

‎Namkumbuka kijana mmoja nilikuwa namfundisha.
‎Alikua akijiona huru, lakini maisha yake yalikuwa magumu.
‎Hakufanya kitu kikubwa… hadi pale alipoamua kuziangalia hisia zake.

‎Alitambua hofu yake, hasira yake, uchoyo wake.
‎Aliamua kuchukua hatua ndogo:

‎Kila siku dakika 10 za kupumzika na kutafakari

‎Kila siku kufanya kitendo kimoja cha kukabiliana na woga

‎Kila siku kudhibiti hasira kidogo

‎Siku 30 baadaye, alibadilika.
‎Maisha yake yakaanza kwenda sawa.
‎Alianza kuamua vizuri, kufuata ndoto zake, kushinda changamoto.

‎Watu waliomuona walishangaa.
‎Aliwajibu kwa utulivu:
Nilimjua adui wangu wa kweli… yupo ndani yangu. Nilipomshinda, maisha yangu yalibadilika.

‎Kaka, dada… hisia zako zinaweza kukufanya mtumwa bila pingu.
‎Lakini kama utaamua kuzidhibiti, kushinda ni lazima.

‎Kitabu hiki hakikufundishi tu kujenga akili…
‎Kinakufundisha jinsi ya kumshinda adui wa ndani: hisia zako wenyewe.

‎FALSAFA YA USTOA, Jitawale Mwenyewe, Uitawale Dunia

‎Kujifunza zaidi bonyeza hapa

https://wa.link/524kl0

‎Karibu.
‎0756694090.

‎Hii Ndiyo Formula Ya Uhuru Wa Kweli.