Kaka/Dada… inauma….

‎Kuna wakati mtu anakaa kimya, anayafikiria maisha yake, halafu anapata ile hisia mbaya…
Dah, muda umeenda… na mimi bado nipo pale pale.

‎Ni hisia mbaya.
‎Ni hisia inayokula ndani.
‎Ni hisia inayoweza kukufanya uamini kwamba safari yako imeisha.

‎Lakini leo nataka nikupe ukweli ambao wengi hawakuambiagi…

‎Tatizo sio kwamba umechelewa.
‎Tatizo ni kwamba umeamini kuchelewa ni kosa lisilorekebishika.
‎Na hiyo imani ndiyo imekukatisha tamaa.

‎Lakini ukweli ni huu hapa…
‎Maisha hayafungwi na muda uliopotea.
‎Maisha huanza unapoamua kuanza upya.

‎Kila mtu aliyeko mbele yako sasa… aliwahi kuwa nyuma ya mtu mwingine.
‎Hakuna aliyeanza vizuri.
‎Lakini kuna wengi walianza mahali walipo na wakafika mbali.

‎Sasa, shida kubwa ni hii hapa…
‎Kila siku unavyokaa na kujisema, Nimechelewa,unajiibia dakika.
‎Unajiibia matumaini.
‎Unajiibia nguvu ya kuanza.

‎Miaka inapita.
‎Makosa ya zamani yanajirudia.
‎Akili inakupa visingizio..
Wenzako wako mbali.
Umezidi umri.
Huna cha kuanza nacho.
Sasa utafanya nini?

‎Hii ni sauti ndogo ya kukukatisha tamaa…
‎huumiza kuliko ukosefu wa pesa.

‎Kwa sababu ukishakata tamaa, hakuna hatua inayotokea.
‎Na bila hatua… hakuna mabadiliko.

‎Na sasa ngoja nikuweke sawa na kuuvunja huo uongo.

‎Kuanza kuchelewa hakujawahi kuwa tatizo katika mafanikio ya kifedha.
‎Tatizo halipo kwenye umri wako.
‎Tatizo halipo kwenye miaka uliyopoteza.
‎Tatizo halipo kwenye makosa uliyowahi kufanya.

‎Tatizo ni fikra.

‎Kuna watu walijua matumizi sahihi ya pesa wakiwa na miaka 40.
‎Wengine walijua uwekezaji wakiwa Miaka 45.
‎Wengine walijenga nidhamu wakiwa Miaka 50.
‎Na guess what?
‎Leo wana maisha bora kuliko vijana walioanza mapema.

‎Kwa hiyo…
‎uongo wa umechelewa uujengee kaburi leo.

‎Sasa suluhisho ni moja tu.
‎Na halihitaji mtaji mkubwa, elimu kubwa, au muda wa miujiza.

‎Inahitaji hatua ndogo.
‎Hatua ndogo inayorudiwa.
‎Hatua ndogo inayojenga tabia.

‎Tabia ndio hutengeneza nidhamu.
‎Nidhamu ndio hutengeneza utajiri.
‎Na utajiri hauanzi na milioni…
‎Unaanza na buku.
‎Buku moja.
‎Leo.
‎Sio kesho.

‎Hapo ndipo Elimu Ya Msingi Ya Uwekezaji inafanya kazi kubwa.
‎Haikuambii, Anza kwa ukubwa.
‎Inakuambia, “Fanya sahihi. Fanya kidogo. Fanya leo.”

‎Inakufundisha kutumia pesa kwa akili, kuweka akiba kidogo kila siku, kujenga muundo wa maisha ya kifedha… bila presha, bila majigambo, bila ugumu.

‎Nikupe story ambayo nadhani itaugusa moyo wako.
‎Kuna kijana mmoja wa Magomeni.
‎Miaka ilimkalia vibaya.
‎Alitumia vibaya pesa alizowahi kupata.
‎Akaingia kwenye matumizi mabovu, madeni, na lawama kibao.

‎Siku moja aliniambia…
Bro, nadhani game imenipita. Nimeshachemsha sana. Nimechelewa kuliko watu wote.

‎Nikamuangalia, nikamuambia kitu rahisi:
HujaCHELEWA. UmeCHELEWESHWA na mawazo yako.

‎Tulianza safari ya hatua ndogo.
‎Buku moja.
‎Kila siku.
‎Pesa ndogo ndogo.
‎Maamuzi madogo madogo.

‎Baada ya miezi 6…
‎Hakuwa bilionea.
‎Lakini alikuwa mtu mpya.

‎Alikuwa na akiba.
‎Alikuwa na nidhamu.
‎Alikuwa na mwelekeo.
‎Alikuwa na matumaini aliyoamini tena.

‎Na leo?
‎Anaweka pesa kila mwezi.
‎Anawekeza kiasi kidogo kinachokua.
‎Amepata confidence mpya kwenye maisha.

‎Na mara ya mwisho nilipoongea naye, alinipa kauli nisiyoisahau:
Siri haikuwa pesa… ilikuwa kuamua kuanza, ingawa nilihisi nimechelewa.

‎Na wewe pia unaweza kuanza leo.
‎Hata kama miaka imepita.
‎Hata kama ulipoteza pesa.
‎Hata kama makosa yamekuumiza.
‎Hata kama unaanza na shilingi 1000.

‎Maisha yanabadilika pale unaposema:
Sasa nataka kujijenga.

‎Na ukitaka mwongozo rahisi, laini, unaoingia kichwani haraka…
Elimu Ya Msingi Ya Uwekezaji ndiyo daraja lako.
‎Itakupa misingi, nidhamu, na mpango wa kuanza safari mpya bila presha.

‎👇 Jifunze zaidi hapa
https://wa.link/kj1hrl

‎Karibu sana.
‎0756 694 090

‎PS:
‎Hakuna Aliyewahi Kuchelewa Kwenye Safari Ya Kubadilisha Maisha.
‎Lakini Kuna Wengi Wamekwama Kwa Sababu Waliamini Uongo Wa NIMECHELEWA.
‎Usiwe Mmoja Wao.