‎Basi tayari uko hatarini.

‎Kakaa/Dadaa…

‎Umemuuzia nani wiki hii?

‎Wateja wanaojirudia ni kina nani?

‎Mauzo yamepanda au yameshuka mwezi huu?

‎Na hela zako ziko wapi?

‎Usijibu. Najua hujui.

‎Tatizo Ni Hili…

‎Biashara nyingi zinapoteza hela kimyakimya.

‎Sio kwa sababu bidhaa ni mbaya.

‎Sio kwa sababu wateja hawapo.

‎Ni kwa sababu mmiliki hajui kinachoendelea.

‎Hana mfumo. Hana kumbukumbu. Hana hesabu.

‎Anategemea kichwa.

‎Kumbuka: Kichwa sio computer. Kinaweza sahau.

‎Na Mbaya Zaidi…

‎Ukishaanza kusahau, biashara inaanza kufa.

‎Unauza lakini hauoni faida.

‎Unalipa wafanyakazi lakini huelewi kwa nini pesa haibaki.

‎Una wateja, lakini hawarudi tena.

‎Hujui kwanini walikuja… wala kwanini wameondoka.

‎Unalipa kodi kwa makadirio.

‎Unaumia kimya kimya.

‎Hebu Tuambiane Ukweli…

‎Biashara bila Mfumo wa Mauzo CRM na Accounting ni sawa na gari bila dashboard.

‎Hujui mafuta yako yamebaki kiasi gani.

‎Hujui speed yako.

‎Hujui kama injini inachemka.

‎Mwisho wake? Gari linawaka moto barabarani.

‎Na biashara yako nayo? Itaungua huku ukiangalia.

‎Hebu Nikufunze Kidogo…

‎Mauzo CRM ni Mfumo wa kuwasiliana, kuhifadhi, na kufuatilia wateja.

‎Unajua nani alinunua.

‎Nani alipiga simu.

‎Nani alisema “nirudie wiki ijayo.”

‎Nani anakudai.

‎Unamjua mteja wako kama anavyojijua mwenyewe.

‎Accounting system inakusaidia kujua:

‎Mapato

‎Matumizi

‎Faida

‎Madeni

‎Kodi ya kulipa

‎Hakuna ubashiri. Ni ukweli mtupu.

‎Usinidanganye Ukiwa Na Notebook Tu!
‎Karatasi hupotea.

‎Watu huandika juu ya daftari lako.

‎Na ukiumwa siku moja, biashara husimama.

‎Siku hizi, kuna mfumo unapatikana hata kwenye simu.

‎Rahatupu.

‎Unaona kila kitu kwa kubonyeza mara moja.

‎Wateja. Mauzo. Matumizi.

‎Na unaweza fanya maamuzi kwa data sahihi.

‎Ngoja Nikupigie Story Ya Mdau Mmoja…

‎Anaitwa Juma.

‎Alikuwa na duka la vifaa vya ujenzi.

‎Alikuwa anauza sana.

‎Lakini kila mwisho wa mwezi, alikuwa broke.

‎Mke wake alifikiri ana wake wa nje.

‎Watu walimwita milionea wa midomo.

‎Siku moja akakutana na kijana mmoja kwenye semina.

‎Akamwambia: Bila mfumo, utafilisika ukiwa unaangalia.

‎Akaanza kutumia Mauzo CRM & Accounting system.

‎Baada ya miezi 3, alijua:

‎Bidhaa zipi zinaingiza hela

‎Wateja gani wanarudia sana

‎Matumizi yasiyo ya lazima

‎Leo hii?

‎Ana maduka matatu.

‎Anasafiri nje ya nchi.

‎Na mke wake anatembea kifua mbele mitaani.

‎Sasa Ni Zamu Yako…

‎Usiendelee kuwa mjanja wa mdomoni na maskini wa mfumo.

‎Biashara yako inastahili mfumo bora.

‎Mfumo Wa Mauzo CRM & Accounting system sio gharama.

‎Ni silaha ya mjasiriamali wa kweli.

‎Anza leo.

‎Usikose kesho yako kwa sababu ya kichwa chako.

‎Usingoje Kuungua Ndiyo Utafute Kizima Moto!

‎Chukua hatua sasa.

‎Pata mfumo wa Mauzo CRM & Accounting leo,

‎…uanze kuona biashara yako kwa macho ya data, sio hisia.

‎Kupata mfumo huu tuma ujumbe NATAKA MFUMO WA MAUZO

‎Kwenda NAMBA 0756694090.

‎Hii si gharama. Ni uwekezaji wa akili.

‎Tunaweka mfumo. Unavuna faida.

‎Usiendelee kuwa mjanja bila mpango.

‎Karibu.
‎Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan.