‎‎Kakaa/Dadaa Yangu…

‎Unajituma.
‎Unaamka mapema.
‎Unajitangaza kila kona.
‎Lakini bado…
‎Mauzo yako yapo pale pale.

‎Wateja wanapita…
‎Wanatazama…
‎Wanacheka kidogo…
‎Halafu wanasepa bila kununua.
‎Inakera, sio?

‎Wewe Sio MZEMBE, Ila Unajua Nini Unakosea?

‎Biashara sio kupiga kelele tu.
‎Sio kuweka bidhaa Instagram kila siku.
‎Wateja hawataki kuuziwa.
‎Wanataka kushawishiwa.

‎Na kama hujui njia ya kuwashawishi…
‎Utawatazama tu wakinunua kwa jirani.


‎Watu Wengi WANADANGANYWA…

‎Wanambiwa:

‎“Tangaza zaidi.”
‎“Tengeneza logo kali.”
‎“Fungua TikTok.”

‎Lakini bado…
‎Mauzo hayapandi.

‎Kwani shida iko wapi?
‎Shida siyo bidhaa.
‎Shida ni lugha unayotumia kuuza.

‎Suluhisho Liko HAPA…

‎Kitabu cha CHUO CHA MAUZO
‎Hakifundishi tu kuuza.
‎Kinakufundisha namna ya kumvuta mteja kwa maneno.

‎Unajifunza:

‎Jinsi ya kupata wateja wengi tarajiwa.

‎Jinsi ya kumtenganisha mteja na fedha zake.

‎Namna ya kumshawishi mtu hata kama alikuwa hana mpango wa kufanya kile ulichomtaka afanye, hapo kabla.

‎Mbinu za kuuza bila kuomba.

‎Kuongea na mteja hadi aseme “NIUZIE!”

‎Hiki sio kitabu cha nadharia.
‎Ni silaha ya mjasiriamali.

‎Soma Stori Hii Fupi…

‎Mwaka 2024…

‎Kuna jamaa kariakoo alikuwa na duka la nguo.
‎Kila siku anakaa hadi saa tatu usiku.
‎Mauzo? Ya kuvunja moyo.

‎Alijua biashara haimlipi.
‎Aliwaza kufunga.

‎Siku moja akapata mkononi kitabu cha CHUO CHA MAUZO.

‎Alikisoma usiku kucha.

‎Kesho yake akaanza kutumia maneno ya ushawishi aliyoyakuta Kwenye module ya 6.

‎Ukurasa Wa 316.

‎Akaanza kugusa maumivu ya mteja.

‎Wiki moja baadaye, wateja wakaanza kumiminika kama mvua.

‎Mmoja akamwambia:
‎“Nimekuja kwa sababu umenishawishi na umegusa maumivu yangu”

‎Leo?
‎Anafungua saa 1 asubuhi.
‎Anapiga mauzo ya maana kabla ya saa 7 mchana.

‎Alisema hivi:
‎“Sikubadilisha bidhaa, nilibadilisha lugha yangu ya kuuza.”

‎Na Wewe UNAWEZA…

‎Unahitaji tu kupiga hatua moja ya busara.
‎Usingoje hadi hali iwe mbaya zaidi.

‎Kama kweli unataka kuona mauzo yakikua mara mbili zaidi.

‎Chukua kitabu hiki leo.

‎Kitabu chenyewe kinajiuza.
‎Lakini ukikisoma,

‎Utajua kuuza hata jiwe kwa bei ya dhahabu.

‎Na kwasababu Leo ni Happybirthday ya Kocha Dr Makirita Amani, Unakipata Kwa Ofa ya Tshs 29,999 TU Badala Ya Tshs 50,000 Nzima.

‎Basi bonyeza hapa 👇

https://wa.link/vu58hn

‎Karibu.
‎0756694090.
‎Imetoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

Mkufunzi Ramadhan Amir.