‎Iokoe Leo Kabla Hujachelewa. 🔥

🔥

‎Rafiki Yangu Mpendwa,

‎Unawahi kuamka asubuhi, simu imejaa meseji za wateja.

‎Mwingine anakudai risiti, mwingine anataka kujua taarifa ya oda yake.

‎Halafu kuna yule wa jana uliahidi kumpigia, ukasahau.

‎Mmoja alikuwa serious kununua lakini hujui ni yupi!

‎Kibaya zaidi, hela zinapita mikononi, lakini hujui zinakwenda wapi.

‎Rafiki, biashara si kubahatisha. Biashara ni mfumo.

‎Na kama hauna mfumo wa CRM & Accounting, unacheza na moto.

‎CRM inakumbuka kila mteja, historia yake, malalamiko yake, na tabia yake ya kununua.

‎Accounting inakuonyesha hela inayoingia na inatoka vipi – live!

‎Hujawahi kuibiwa hela na cashier?

‎Hujawahi kushangaa mwezi umeisha hela imeenda wapi?

‎Hujawahi kuona wateja wako wanapotea kimya kimya kwa washindani?

‎Yaani, unahisi kuna mashimo kwenye ndoo yako ya biashara, maji yanamwagika kila siku!

‎Unadanganywa na maneno matamu ya “tunakuandikia kwenye daftari”,

‎Lakini faida hupati.

‎Kila siku ni kusuasua, kurudia, kusahau, kukimbizana na risiti, na kuomba Mungu.


‎Sawa. Wengi wanadhani biashara ni kuuza tu.

‎Kutoa tu bidhaa, basi hela imeingia.

‎Wanakosea!

‎Kuuza ni hatua moja.

‎Kumjua mteja, kumtunza, kumrudisha tena, na kufuatilia hela zako hiyo ndiyo biashara.

‎Daftari?
‎Excel?
‎Notes za simu?
‎Zote hizo ni “zama za mawe” kwenye dunia ya biashara.
‎Unajichelewesha mwenyewe.

‎Unakata tamaa mapema.
‎Na unawapa washindani wako nafasi ya kukuacha mbali.

‎Sasa sikia vizuri kaka/dada…

‎Mfumo wa CRM & Accounting ni kama kuwa na msaidizi asiyechoka.

‎Anakumbuka kila mteja wako, hata wale uliowasahau.

‎Anakutengenezea ripoti ya kila mauzo na matumizi.

‎Anakukumbusha madeni, anakuonyesha bidhaa zinazouzwa zaidi.

‎Anakupigia hesabu zako kila mwisho wa mwezi.

‎Anakupa picha kamili ya biashara yako usiku na mchana.

‎Unapanga, unaona, unajua.
‎Hakuna kubahatisha tena.
‎Unaanza kuuza kisayansi siyo kihisia.

‎Namkumbuka jamaa mmoja anaitwa Nixon.
‎Alikuwa anaendesha duka la vipodozi Sinza.

‎Mwaka 2023, alikuwa anatumia daftari na simu yake kuwahifadhi wateja.

‎Alikuwa anasema, “Mimi nawaweza tu kichwa kwa kichwa.”

‎Mwaka ukaisha, hajui alipata faida kiasi gani.
‎Wateja walianza kulalamika,

Nixon Umenisahau!

‎Mwingine akasema, Uliniahidi discount!
‎Nixon akaanza kuchoka, akataka kuuza duka.

‎Mwaka 2024, akakubali ushauri.

‎Akaingia kwenye mfumo wa Mauzo CRM & Accounting.

‎Leo Nixon ana dashboard anaangalia kila kitu kwa clicks chache tu.
‎Wateja wake wanarudi.

‎Wengine wanamtumia referrals.
‎Yeye mwenyewe ana amani.

‎Anajua biashara yake iko mikononi mwa mfumo, siyo kihisia tena.

‎Hii si zama za kumbukumbu kichwani.

‎Hii si zama za kubahatisha na daftari.

‎Hii ni zama za Mauzo CRM & Accounting.
‎Unataka kuuza kwa akili?
‎Unataka wateja warudi tena na tena?

‎Unataka hela zako ziwe na mwelekeo?

‎Basi anza kutumia mfumo wa Mauzo CRM & Accounting leo.

‎Ukiendelea kutumia daftari, usilalamike ukipoteza biashara.

‎Kama Nixon aliweza hata wewe unaweza.
‎Ni wakati wa kuwa mjanja kibiashara.

‎Usifanye kazi ya watu watatu, wakati mfumo unaweza kukusaidia bila kulalamika.

‎🛑 Sasa ni wakati wa kufanya uamuzi wa kishujaa kwa biashara yako.

‎Ukiendelea kuahirisha, ndivyo unavyoiangalia ikififia kidogo kidogo hadi iishe kabisa.

‎Tuma Meseji 💬 “Nataka MFUMO WA MAUZO CRM & Accounting”

‎Kwenda 0756694090.

‎Au bonyeza hapa 👇

https://wa.link/fes44q

‎Nitakupa ushauri wa bure, bila longolongo.

‎Nitakuonyesha mfumo bora ambao unaweza kubeba biashara yako kutoka kuwa usumbufu hadi utulivu.

‎📲 Tuma ujumbe sasa hivi kabla mshindani wako hajasoma makala hii pia.

‎Usisubiri kuzika ndoto zako zifufue kwa mfumo sahihi!

‎Karibu.
‎0756694090.
‎Hii Imetoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,
‎Mkufunzi Ramadhan