‎Rafiki Yangu,

‎Kuna kitu hatuambiwi mapema.
‎Kuna ukweli ambao wengi hawaujui…

‎Mpaka siku wanapopewa barua ya kustaafu.
‎Na huo ndio mchezo unaoua wastaafu wengi kimya kimya.

‎Tunaishi tukitegemea mshahara.
‎Tunafanya kazi miaka 20, 30, 40… bila kujenga kitu nje ya kazi.
‎Halafu tunategemea mafao yatusaidie mpaka uzee?

‎Haiwezekani.
‎Hakuna pesa ya mafao inayoweza kubeba mahitaji ya miaka 20–30 ya baada ya kazi.
‎Hilo ndilo somo ambalo hatufundishwi shuleni.

‎Na tatizo halipo tu kwenye pesa… lipo pia kwenye tabia.
‎Unapopata mafao, ghafla unahisi wewe ni tajiri.

‎Unaanza kugawa, kusaidia kila mtu, kununua vitu ambavyo hukuwahi kumiliki.
‎Unataka kufidia miaka yote ya kunyimwa na mfumo.

‎Na hapo ndipo mzizi wa kufilisika unaanza.

‎Lakini subiri…
‎Ushasikia hii kauli?
Maisha ya uzeeni ni matokeo ya maamuzi ya ujana.

‎Hii si methali tu.
‎Ni ukweli mchungu.

‎Fikiria hivi…
‎Umezoea kupokea pesa kila mwezi.
‎Ghafla, hakuna tena.

‎Lakini gharama zinaendelea.
‎Watoto bado wanasoma.
‎Afya inaanza kuzingua.

‎Umeme, maji, kodi, chakula… hakuna anayekuonea huruma.
‎Kila wiki kuna msiba, harusi, michango.
‎Kila mmoja anakutazama kama “mzee aliyejenga maisha vizuri”.

‎Lakini moyoni?
‎Unapiga hesabu.
‎Unatetemeka.
‎Pesa inaisha.
‎Muda unakwenda.
‎Na hakuna chanzo kingine cha kuingiza kipato.

‎Hapo ndipo wengi wanachoka.
‎Wengi wanauza viwanja.
‎Wengine wanauza nyumba.
‎Wengine wanahamia kijijini kulikokuwa kwa bei ndogo.

‎Wengi wanaanza kuishi kama mzigo kwa watoto wao.

‎Si kwamba hawakufanya kazi.
‎Walifanya.
‎Walijituma.

‎Lakini hawakupanga mapema.
‎Walikosa msingi wa uwekezaji.

‎Kustaafu si tatizo.
‎Kutokuwa na mpango wa uwekezaji ndio tatizo.
‎Hakuna pesa itakayodumu bila mfumo.
‎Hakuna mafao yatakayotosha bila mpango.

‎Na hakuna mpango utakaa bila maarifa.

‎Uwekezaji si juu ya pesa nyingi.
‎Ni juu ya uelewa.
‎Ni juu ya kujua wapi uweke, lini uweke, na jinsi ya kukua.
‎Na hii ndiyo sehemu wengi wanakosea.

‎Wanataka kuanza na milioni 10.
‎Wanataka fursa kubwa.
‎Wanangoja mpaka maisha yachanganye.
‎Wanangoja mpaka wanazeeka.

‎Na mchezo unaishia hapo…

‎Na suluhisho ni mojawapo ya vitu rahisi kuliko unavyofikiri:

‎Jenga mfumo wa uwekezaji mapema.
‎Mfumo unaokuwezesha:

‎Kuongeza kipato.
‎Kuanzisha chanzo cha ziada.
‎Kuzalisha pesa ukiwa bado una nguvu.
‎Kufika uzee ukiwa na uhuru, sio mzigo.

‎Na sio lazima kuanza na pesa nyingi.
‎Kilicho muhimu ni maarifa.

‎Unachohitaji ni kuelewa misingi ya uwekezaji…
‎Misingi ambayo shule hazifundishi.

‎Waajiri hawasemi.
‎Na wastaafu wengi wanaigundua pale ambapo wamechelewa.

‎Hii ndiyo sababu kitabu cha*ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI * kimetengenezwa.

‎Kinafundisha kwa lugha rahisi.
‎Kwa mifano halisi.
‎Kwa hatua unazoweza kuanza nazo leo.
‎Kabla hujachelewa.
‎Kabla maisha hayajakubana.

‎Kuna mzee mmoja jirani yangu…
‎Alifanya kazi serikalini karibu miaka 33.
‎Kila mtu aliamini mzee yuko vizuri.
‎Siku alipostaafu, alilipwa mafao mazuri tu.

‎Mji mzima ulijaa shangwe.
‎Mzee alifanya sherehe, akagawana, akasaidia ndugu, akaboresha nyumba.

‎Lakini baada ya mwaka mmoja…
‎Kilianza kimya kimya.
‎Mfuko ukaanza kubanuka.

‎Gharama za afya zikaongezeka.
‎Watoto bado wanahitaji msaada.
‎Na hakuna chanzo kingine cha kipato.

‎Alinong’oneza siku moja:
Kama ningejua… ningejenga mpango wangu mapema. Sasa nimechelewa.

‎Maneno yake yalinikata kama kisu.
‎Na sikutaka mtu mwingine ayapitie hayo machungu.

‎Ndiyo maana najituma kukupa haya maarifa leo.

‎MWISHO… KAMA UNA HURUMA NA KESHO YAKO, HII NDIO NAFASI YAKO

‎Kesho haiji kwa bahati.
‎Kesho inajengwa.
‎Leo.
‎Kwa hatua ndogo.
‎Kwa maarifa sahihi.
‎Na kitabu kimoja kinaweza kubadili mustakabali wako mzima.

‎Na kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI ndicho ramani ya kujitoa kwenye hatari ya kufilisika baada ya kustaafu.

‎Usisubiri mpaka uchelewe kama wengine.
‎Anza leo.
‎Jiokoe leo.

‎Kama bado hujakipata unaweza kuanzia hapa 👇

https://wa.link/kj1hrl

‎Karibu.
‎0756694090.

‎Kutoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Ramadhan Amir.