‎Rafiki Yangu,

Hebu fikiria kitu kidogo…

‎Kila siku unaamka mapema, unatafuta, unakimbizana na majukumu, halafu mwisho wa mwezi unashangaa mbona hesabu haikui.

‎Unajituma kuliko wengi, lakini kipato kinategemea nguvu zako asilimia mia.

‎Tatizo?
‎Mwili ukilala… pesa pia zinalala.
‎Hiyo ndiyo siri inayokufanya uendelee kukimbizana na maisha bila kupata nafasi ya kupumua.

‎Na sio kosa lako.
‎Hujafundishwa mfumo.
‎Watu wengi hawajui kabisa kwamba kipato kinaweza kukua bila wewe kuwepo.
‎Kipato kinaweza kuendelea kuingia hata ukiwa umelala, umesafiri au upo kwenye majukumu ya kawaida.

‎Ukweli ni kwamba….

‎Dunia ya leo haiendeshwi tena kwa nguvu za mwili.
‎Inaendeshwa kwa mifumo.
‎Wale unaowaona kimya kimya wanapiga hatua sio kwamba wana miujiza wanafanya kitu ambacho wewe bado hujaanza.

‎Wamefanya pesa iwafanyie Kazi.

‎Wewe unatumia nguvu zako.
‎Wao wanatumia pesa yao.

‎Na hapo ndipo tofauti inaanza kujionyesha.

‎Ukiendelea kutegemea kipato kinachotoka kwenye nguvu zako, maisha yatakupiga kisawa sawa.

‎Na utabaki na yale maumivu kimya kimya, ambayo umeyabeba ndani, Lakini haumwambii yoyote.

‎Lakini hapa ndipo watu wa kawaida wanawashangaza wengi…
‎Wanajua kitu kimoja tu…
‎Pesa ndogo ikitawaliwa vizuri, inaleta maajabu.

‎Hapo nyuma….

‎Mtaani kwetu kulikuwa na jamaa mmoja anaitwa Masele.
‎Hakuwa mtu wa pesa.
‎Anafanya kazi za kawaida, mishahara haivuki hata milioni moja.
‎Hana biashara kubwa, hana connection… mtu wa kawaida kabisa.

‎Siku moja alimsikia mtu akisema:
Tatizo lako sio kipato kidogo… ni matumizi bila mpango.

‎Kauli ikamchoma.
‎Ikamgusa.
‎Ikamfanya akae kimya siku nzima akitafakari.
‎Akaamua kujaribu kitu kidogo tu kuweka pembeni buku 5 kila wiki.
‎Si project, si biashara, si kitu cha kutisha. Buku 5 tu.

‎Baadaye akajifunza misingi michache ya uwekezaji.
‎Akaanza kuweka kidogo kidogo kwenye maeneo salama.

‎Akaanza kuifanya pesa ifanye kazi hata wakati yeye anaendelea na shughuli zake.

‎Miaka miwili mbele…
‎Masele sio yule wa zamani.
‎Sio tajiri, lakini sasa ana mfumo.
‎Ana kipato kinachoingia bila yeye kuwepo.
‎Hata akiwa analala, anaingiza pesa ndogo ndogo zinazoendelea kukua.

‎Siri ni misingi tu na kanuni sahihi.

‎Kwanini Nakwambia Hii Leo?

‎Kwa sababu hali yako ya leo haibadiliki kwa juhudi tu.
‎Inabadilika kwa maarifa sahihi.
‎Ujuzi ambao shuleni hawakutufundisha.

‎Na ndiyo maana watu wakipata elimu sahihi ya uwekezaji, hata kipato cha kawaida kinabadilika kuwa mfumo wa kipato endelevu.

‎Kama Kipato Chako Bado Kinaishi Kwa Nguvu Zako… Ni Hatari.

‎Gharama za maisha hazishuki.
‎Majukumu hayaishi.
‎Mahitaji hayapungui.

‎Lakini kipato kinaweza kuongezeka kama ukiamua na kuacha kuzikimbiza pesa, na kuanza Kufanya pesa ifanye kazi kwaajili yako.

‎Hapa Ndipo Kitabu Cha ELIMU YA MSINGI YA UWEKEZAJI Kinaingia…

‎Kama ulikuwa unatafuta hatua ya kuanzia, hapa ndipo.
‎Kitabu hiki ndicho msingi ambao watu wa kawaida wanatumia kugeuza kipato kidogo kuwa mfumo.

‎Ndani yake utajifunza:

‎Namna ya kuanza uwekezaji hata ukiwa na pesa ndogo mno.

‎Namna ya kutawala pesa yako badala ya pesa kukutawala.

‎Namna ya kujenga mfumo wa kipato kinachoendelea hata wewe ukiwa usingizini.

‎Namna ya kuzuia pesa kuvuja bila uelewa.

‎Namna ya kuanza safari ya uhuru wa kifedha bila kuumiza kichwa.

‎Kumbuka Hiki Kitu Moja…

‎Ukiulaza mwili, usilaze pesa pia.
‎Lazima pesa iendelee kufanya kazi, hata kama wewe ukipumzika.

‎Na safari hiyo inaanza na uamuzi mdogo tu…
‎Kuamua kujifunza misingi sahihi.

‎👇 Hapa Ndipo Safari Inaanzia
https://wa.link/kj1hrl

‎Karibu.
‎0756694090

‎PS: Watu Wanaopiga Hatua Haraka Sio Matajiri.
‎Ni Wale Walioamua Kuanza Mapema Bila Kusubiri Mazingira Yabadilike.
‎Usiendelee Kubahatisha Anza Kwa Usahihi Leo.