‎Mpendwa Rafiki,

‎Watu wengi wanapambana na hali ngumu ya kifedha, hela inakatika ghafla,

‎…. matumizi hayaeleweki, akiba hakuna, na mwisho wa mwezi unakuwa mgumu kuliko mwanzo.

‎Na labda hata wewe, unajiambia kila siku, Nahitaji kuongeza kipato changu, lakini sina pa kuanzia.

‎Inachosha kuona pesa zako zinapita mikononi kama maji.

‎Unaamka unayo, jioni haieleweki imeenda wapi.

‎Ulikuwa na ndoto za kuanzisha biashara, kuwekeza, au hata tu kuwa na uhuru wa kifedha… lakini mpaka sasa bado upo hapo hapo.

‎Ni kama maisha yamekuzungusha mduara wa matumizi, madeni, na kusubiri miujiza ya mshahara mkubwa au msaada kutoka kwa watu.

‎Unakumbuka mara ya mwisho uliweka akiba lini?

‎Tatizo kubwa sio mshahara mdogo.

‎Sio hata hali ya uchumi.

‎Tatizo ni maarifa ya fedha,  jinsi ya kusimamia kipato chako, kujifunza kuweka akiba, kuwekeza kidogo, na kuongeza kipato bila kusubiri miujiza.

‎Watu wengi hufikiri wanahitaji kuwa na mamilioni ili waanze kujenga utajiri.

‎Hilo ni kosa kubwa.

‎Kilicho muhimu ni kuwa na mpango na maarifa sahihi, hata kama una kipato kidogo.

‎Hapa ndipo UTAJIRI.TZ inapokuja kwa nguvu!

‎Ni Aplikesheni ya kibabe ya fedha inayokuwezesha:

‎Kufuatilia mapato na matumizi yako

‎Kuweka akiba hata bila intaneti.

‎Na pia ndani ya pakeji hii ya Utajiri Tz

‎Unapata vitabu vitano (5) vya fedha vitakavyokusaidia kukuza kipato chako.

‎Utapata pia kozi mbili kali:

‎1. NGUVU YA BUKU – jinsi ya kujenga utajiri kuanzia buku moja

‎2. MTAALA WA UTAJIRI – mwongozo wa hatua kwa hatua wa kutoka sifuri hadi utajiri

‎Vyote hivi leo unavipata kwa Tsh 99,000 tu badala ya Tsh 300,000.

‎Unaokoa Tsh 210,000.

‎Na unapata Aplikesheni Ya Utajiri kwa mwaka mzima- BURE,

‎Hii  haitegemei intaneti, inafanya kazi muda wote, popote ulipo.

‎Nakumbuka jamaa yangu Mleta, alikuwa anahangaika kila mwezi.

‎Akiba hakuwa nayo, kila hela ilivyokuja iliondoka kama ilivyokuja.

‎Nilimwambia ajaribu UTAJIRI.TZ- Package

‎Akajifunza kupitia kozi ya NGUVU YA BUKU, akaanza kuweka buku kila siku, akapitia vitabu, akaanza kufuatilia matumizi kwenye Aplikesheni Ya Utajiri.

‎Leo ana biashara ndogo ya mtandaoni, hana madeni, na ananiambia:

‎Kaka, app hii imenifungua macho. Nilikuwa najitumia tu pesa kama mjinga. Sasa najua kila buku yangu inaenda wapi.

‎Sasa ni zamu yako.

‎Usikubali tena hela ipite kama upepo.

‎Pata UTAJIRI PAKEJI leo kwa Tsh 99,000 tu.

‎Simamia fedha zako kwa urahisi, jifunze, na jiongeze.

‎Kwa mfano ukibonyeza hapa 👇 utaweza kupata pakeji yako ya Utajiri.

‎Ni hapa 👉https://wa.link/bcm3hr

‎Kumbuka: Ukitunza kidogo kwa nidhamu, kesho hutakuwa kwenye kundi la wanaolalamika, utakuwa unawashauri.

‎Karibu.
‎0756694090.

Imeandikwa Na Bwana Ramadhan Amir