‎Kaka/Dada…

‎Eti unasema huna muda?

‎Kweli kabisa?

‎Ama ndo ile unasema bado kidogo nianze, nikipata nafasi nitajijenga,

‎ “sina muda saa hizi bro”?

‎Hebu ngoja tukate mzizi wa fitina.

‎Tatizo sio muda, tatizo ni kipaumbele.

‎Unayo dakika 10 za kuscroll TikTok.

‎Unayo saa nzima ya kuangalia episode 3 za Netflix.

‎Unayo muda wa kukaa vijiweni, kuangalia status, na kulalamika.

‎Lakini huna muda wa kujifunza kitu kitakachokutoa hapo ulipo?

‎Huna muda wa kusoma kitabu kitakachokuamsha?

‎Huna muda wa kuji-invest kwenye maisha yako?

‎Basi ujue, hiyo ni hadithi unajisemea ili kuficha uvivu.

‎Hii Tabia Inakuchelewesha, Inakurudisha Nyuma.

‎Na Utailipia Kwa Majuto.

‎Hiyo kauli yako ya sina muda imekufanya upoteze nafasi nyingi sana.

‎Umepoteza maarifa.

‎Umepoteza hela ambazo ungeweza tengeneza.

‎Umepoteza Koneksheni.

‎Na mbaya zaidi….

‎ Unajizoeza kuwa mtu wa kuhairisha maisha.

‎Kila siku unapokimbizana na vitu vya haraka haraka (urgent), unaacha vile vya muhimu (important).

‎Unaishi ukizima moto kila leo, badala ya kujenga mfumo wa kesho.

‎Na ukifikiria vizuri…

‎Ni nani amewahi kutoboa kwa kusema sina muda?

‎Hawatoboi.

‎Hebu Nikufunze Siri Ya Mafanikio Ambayo Haujui.

‎Wale unaowaona wamefanikiwa hawakuwa na muda mwingi.

‎Walitengeneza muda.

‎Waliamua kitu kimoja:

‎”Kama ninaweza kupata muda wa kitu chochote , basi lazima nitafute muda wa kutengeneza maisha bora.”

‎Umezoea kuamini kwamba baadaye nitakuwa free, lakini ukweli ni huu:

‎Hutakuwa huru mpaka uanze kupanga muda wako leo.

‎Hiyo ndoto yako haitatimia kwa kutegemea muda wa ziada.

‎Inahitaji UAMUZI wa kupanga muda kwa akili.

‎Kitabu Cha Muda Upo Ndio Silaha Ya Kuwaweka Kina Sina Muda Sawa.

‎Kitabu hiki sio cha kukusomea hadithi za kufurahisha moyo.

‎Ni kitabu cha kukushikisha adabu.

‎Ni mwanga kwa mtu aliyepotea kwenye pilikapilika.

‎Ni msaada kwa mtu aliyetingwa na maisha.

‎ Lakini bado ana njaa ya kufika mbali.

‎Ukikifunua tu, unajisikia aibu ya kusema sina muda.

‎Kinafundisha jinsi ya kutawala siku zako.

‎Kinafunua wizi unaofanywa na simu yako, TV, na marafiki wa kupoteza muda.

‎Na kikubwa zaidi… kinafungua mlango wa maisha yako mapya.


‎Nataka Nikusimulie Kaka Yangu Aliyebadilika Baada Ya Kuacha Visingizio.

‎Alikuwa anasema niko bize sana, kila siku.

‎Kazi, mihangaiko, watu, simu, kiukweli alikuwa kama robot.

‎Siku moja nikamwambia, soma tu ukurasa 5 wa kitabu hiki cha Muda Upo, kama hakitakubadilisha, nirejeshee.

‎Hiyo siku hakuamka hadi amemaliza kurasa 50.

‎Wiki iliyofuata alianza kupanga siku zake.

‎Leo anafanya kazi, anaendesha biashara yake, na bado anasoma vitabu viwili kwa mwezi.

‎Ananiambia, kile kitabu kilinitoa kwenye usingizi wa kujidanganya.


‎Na Wewe Leo Una Nafasi Ya Kubadili Hali Yako.

‎Sema basi na visingizio.

‎Acha kusema nitafanya kesho.

‎Kesho haipo kwenye kalenda yako kama leo hauna mpango nayo.

‎Pata Kitabu Cha Muda Upo sasa hivi, kabla dakika hii haijapotea.

‎Bonyeza hapa 👇

https://wa.link/g1wprc

‎Ujitoe kwenye kundi la niko bize wanaoshindwa kupiga hatua.

‎Muda Upo, Ila Kama Haujautumia, Umepoteza Maisha.

‎Karibu.
‎0756694090.
‎Mkufunzi Ramadhan