‎Kakaa/Dadaa Yangu….

‎Unapambana, eeh?
‎Unajituma.
‎Lakini bado hauoni matokeo?

‎Kuna wakati unajiuliza:

Hivi shida iko wapi?
‎Unaamka mapema, unajitahidi, lakini mwisho wa mwezi bado unakopa.

‎Unalipwa mshahara.
‎Lakini baada ya siku tatu tu, unakuwa huna hata mia.
‎Kama mtu aliyekula mshahara kwa ndoto.

‎Unajituma kama punda…
‎Lakini kipato chako ni kama tone la maji baharini.
‎Linatoweka kabla hujalitumia.

‎Inakera, sio?

‎Sasa ngoja nikuambie ukweli mchungu.
‎Tatizo sio kazi yako.
‎Tatizo sio kwamba huna mtaji.
‎Na wala sio kwamba huna bahati…

‎Tatizo ni kwamba HUJUI KUUZA!

‎Ndio hiyo!
‎Hujui kuuza ndoto zako.
‎Hujui kuuza bidhaa zako.
‎Hujui hata kujiuza wewe mwenyewe kama mtu wa thamani.

‎Ukiwa hujui kuuza, utabaki kuwa mtumwa wa mishahara.
‎Na mishahara huwa haikutoshi huwa inakupiga marufuku na ndoto zako kubwa.

‎Sasa ngoja nikushtue tena…

‎Uuzaji sio kubeba bidhaa na kuzunguka mtaani.
‎Hapana!
‎Uuzaji ni kutumia mdomo wako vizuri.

‎Ni kutumia simu yako vizuri.
‎Ni kuandika sentensi moja tu ambayo inamfanya mtu aseme:
‎”Nataka hii kitu sasa hivi!”

‎Kama hujui kuuza, ni sawa na mtu asiyejua kuogelea kwenye bahari ya pesa.
‎Utazama tu.

‎Lakini kama ukijifunza kuuza…
‎Weeh! Maisha yanabadilika chap chap.

‎Sasa sikiliza hii stori ya ukweli…

‎Kuna binti mmoja, anayeitwa Mishi.
‎Alikuwa anauza viatu vya mitumba.

‎Kibanda chake kilikuwa kona ya soko, watu walikuwa hawapiti sana.
‎Alikuwa analala na stock.

‎Siku moja akajifunza namna ya kuuza kupitia WhatsApp.
‎Akajua namna ya kuandika status tamu zinazochangamsha.
‎Akaanza kujua maneno ya kugusa hisia.

‎Leo hii, Mishi ana group tatu za WhatsApp za wateja.
‎Kila anachopost kinanunuliwa.

‎Na ajabu, stock inaisha hata kabla hajafungua duka.

‎Aliniambia hivi:

Siku hizi siuzi viatu, nauza hisia za watu kutamani viatu vyangu!


‎Na wewe unaweza.
‎Ndiyo, wewe!
‎Huna haja ya kusubiri mwaka.
‎Kwanza anza kwa kujifunza kuuza.

‎Jifunze kutumia maneno kama silaha.
‎Jifunze kuandika sentensi za kuuza bidhaa, huduma, hata ndoto zako.

‎Kama hujui kuuza utaendelea kuwa mtazamaji wa maisha ya wengine.
‎Ukiwa na simu ya laki mbili mkononi, lakini haina maana.

‎Ukiwa na akili ya darasani, lakini haina matumizi.

‎Na hiyo ni hatari kuliko ugonjwa wa ukoma.


‎Sasa swali ni moja tu…
‎Unataka kuendelea kubaki hapo ulipo?

‎Au uko tayari kujifunza ujuzi wa pesa,
‎Ujuzi wa kuuza.
‎Ujuzi wa kuongeza kipato?

‎Kama jibu ni ndiyo…

‎Karibu kwenye dunia ya wauzaji wakali wanaotokea mitaani.
‎Wanaouza bila duka.

‎Wanaopiga hela bila mtaji mkubwa.
‎Wanaouza kwa status, caption, voice note moja tu.

‎Karibu kwenye ligi ya watu wanaotengeneza pesa kwa kutumia maneno.

‎Kama Unataka Kuongeza Kipato Chako, Basi Bonyeza Hapa 👇

*‎https://wa.link/cc2rgj*

‎Karibu.
‎0756694090.
‎Imeandikwa Na Mkufunzi Ramadhan Amir.