
Rafiki Yangu Mpendwa,
Watoto wa siku hizi wanajua kutumia pesa.
Lakini hawajui kuitunza.
Kila pesa wanaipata, wananunua pipi, vinywaji, data, na michezo.
Lakini nani amewafundisha?
Nani kawapa misingi ya kuweka akiba?
Kuwaza uwekezaji?
Au hata kujua maana ya kuvumilia hadi malengo yatimie?
Hakuna.
Na hapo ndo tunaharibu kizazi.
Tunaandaa watoto wa kulalamikia umasikini baadae.
Kama mtoto wako hawezi kutunza shilingi mia tano…
Ataweza vipi kuendesha biashara ya milioni kumi kesho?
Kama hajui kutofautisha matumizi ya lazima na ya tamaa…
Atawezaje kuishi maisha yenye mipango?
Unampeleka shule.
Anapata “A”.
Lakini hawezi kumiliki akiba ya elfu tano.
Unajenga kisima bila maji.
Na siku utakapofariki ukimwachia mali…
Ataimaliza kabla hata hujazikwa vizuri.
Watu wengi hufikiri:
Watoto ni wadogo sana kufundishwa pesa.
Sawa.
Lakini watoto wa Kichina wanaanza kuuza vitu wakiwa darasa la pili.
Watoto wa Kizungu wanaanza kuandika bajeti wakiwa na miaka 8.
Wengine wananunua hisa, hata kabla hawajamaliza sekondari.
Na watoto wetu bado wanajifunza kutumia hela ya mzazi tu?
Tusifanye mzaha na maisha ya baadae ya watoto wetu.
Wale wanaosema mtoto ni mdogo
watawatazama watoto wao wakilia njaa miaka ijayo.
Sasa sikia hii…
“Semina Ya NGUVU YA BUKU TOTO”
Ni mafunzo spesho kwa watoto na familia.
Inafundisha watoto kutumia pesa kwa akili.
Kuweka akiba.
Kuwekeza.
Kujua thamani ya subira.
Kujifunza kusema “hapana” kwa tamaa.
Na wazazi pia wanapata elimu ya kuwalea watoto kipesa.
Ili mtoto awe na maarifa ya pesa kabla hata hajaanza kuingiza pesa.
Hii hapa story ya mtoto mmoja aitwaye Irene.
Miaka 10 tu.
Alishiriki kwenye semina yetu mwaka jana.
Tulimfundisha kuweka akiba ya buku moja kila siku.
Miezi mitatu tu baadaye, alikuwa amejikusanyia 90,000.
Tulimsaidia kununua mabox ya kuuza juisi shuleni.
Leo anauza juisi kila wiki kwa faida.
Anaakaunti ya benki.
Na anajua bajeti yake kila mwezi.
Mzazi wake anasema:
“Irene ni mtoto wa tofauti.
Hata mimi sasa najifunza kutoka kwake.”
Sasa jiulize…
Mtoto wako anajua nini kuhusu pesa?
Anajua kuitunza au kuitapanya?
Utakaa tu umtazame anaharibika au utamwekea msingi mapema?
Watoto wa leo ni mabilionea wa kesho…
Ila ni wale waliopandikiziwa mbegu sahihi sasa.
Usikose hii semina.
Ni zawadi bora kuliko toy, kuliko chipsi, kuliko outing.
Tuma neno “TOTO” kwemda 0756694090 ili ujisajili.
Au bofya hapa 👉 https://wa.link/qghfsv
Karibu.
Imetoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,
Mkufunzi Ramadhan Amir