‎Rafiki Yangu…
‎Hebu ngoja nikuulize swali moja dogo tu…

‎Ulishawahi kujiuliza kwanini watoto wa matajiri wanajua kuzungumza kuhusu pesa wakiwa na miaka 7 tu…

‎Wakati watoto wetu wengi hawajui hata hela inafanyiwa nini zaidi ya kuomba pipi au chips?

‎Sio kosa la mtoto.
‎Na ukweli ni huu:
‎Shule hazifundishi elimu ya pesa.

‎Leo nataka nikuoneshe kitu cha kipekee kabisa…

‎Program mpya.
‎Program ya nguvu.
‎Program ya Nguvu ya Buku Toto.

‎Hii ni kwa ajili ya mtoto wako ,kama bado yuko chini ya miaka 18.
‎Ni elimu ya pesa.
‎Ni mafunzo ya uwekezaji.
‎Kwa lugha ya watoto.
‎Kwa njia rahisi, ya kiburudani, na ya kimataifa.


‎Lakini ngoja nikupe ukweli unaouma kidogo…

‎Mtoto asiyejua kuhusu pesa,
‎Kesho anakua mtu mzima anayehangaika na mikopo, deni, maisha magumu, na maisha ya kubahatisha.
‎Yaani maisha yanamgeuza kuwa mtumwa.

‎Wakati wenzake waliopata elimu ya pesa wakiwa wadogo,
‎Wanakuwa watu wa kutegemewa.
‎Wanainvest.
‎Wanafungua biashara.
‎Wanamiliki mali.

‎Na bado ni vijana wadogo tu.


‎Sasa hebu nikufundishe kitu kingine muhimu…

‎Unaweza kusema,
‎Mbona shule wanajifunza sana, hawana muda na vitu kama hivi?

‎Lakini ukweli ni huu:
‎Shule haitamfundisha mtoto wako namna ya kuingiza kipato.
‎Shule haina somo la “Jinsi ya kufungua akaunti ya uwekezaji.”
‎Hawatawahi kumfundisha “jinsi ya kutumia elfu 5 kuanza biashara.”

‎Na ndiyo maana Nguvu Ya Buku Toto ipo.

‎Na hii video inakufunulia ukweli wote,

‎Jionee mwenyewe hapa 👇….

https://youtu.be/8KbwhpmIMPQ

‎Program hii inazinduliwa rasmi…

‎📍 Tarehe 14 June 2025
‎📍 Dar es Salaam
‎📍 Unaweza fika mwenyewe – au ukaunganishwa live kwa mtandao.

‎Mtoto wako atapata nini?

‎✅ Vitabu vya fedha vya watoto
‎✅ Workbook ya mazoezi ya kifedha ya watoto
‎✅ Nafasi ya kufunguliwa akaunti ya uwekezaji
‎✅ Mafunzo ya namna ya kutumia pesa kwa busara
‎✅ Uwezo wa kutengeneza kipato hata akiwa bado shuleni


‎Ngoja nikuambie story moja ya kweli…

‎Mama mmoja alileta mwanae kwenye mafunzo kama haya mwaka jana.
‎Mtoto alikuwa na miaka 15 tu.
‎Leo hii, yule mtoto anauza stationery online.
‎Amefungua akaunti ya akiba.
‎Ana mipango.
‎Ana maono.

‎Na bado ana miaka 11 tu.

‎Mama yake anasema,
‎”Sijawahi kumwona akiwa serious namna hii kwenye maisha.”

‎Na wewe je?

‎Utakaa kimya mtoto wako akijifunza TikTok na kucheza Free Fire tu?
‎Au utampa zawadi ya maisha elimu ya pesa mapema?

‎Karibu kwenye uzinduzi wa Nguvu ya Buku Toto.
‎Usikose nafasi hii ya kipekee kwa ajili ya mtoto wako.

‎👉 Tumia taarifa zilizo hapo juu kujisajili.
‎👉 Usisubiri siku ya mwisho.

‎Mtoto wa kesho bora, hujengwa na mzazi wa leo mwenye maamuzi sahihi.

‎Muhimu;  Kama bado hujajisajili,

‎Unajipunja.

‎Wahi nafasi yako ipo hapa 👇

https://wa.link/qghfsv

‎Karibu.
‎Imetoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,
‎Mkufunzi Ramadhan Amir.