
Rafiki Yangu…
Hebu ngoja nikuulize swali moja dogo tu…
Ulishawahi kujiuliza kwanini watoto wa matajiri wanajua kuzungumza kuhusu pesa wakiwa na miaka 7 tu…
Wakati watoto wetu wengi hawajui hata hela inafanyiwa nini zaidi ya kuomba pipi au chips?
Sio kosa la mtoto.
Na ukweli ni huu:
Shule hazifundishi elimu ya pesa.
Leo nataka nikuoneshe kitu cha kipekee kabisa…
Program mpya.
Program ya nguvu.
Program ya Nguvu ya Buku Toto.
Hii ni kwa ajili ya mtoto wako ,kama bado yuko chini ya miaka 18.
Ni elimu ya pesa.
Ni mafunzo ya uwekezaji.
Kwa lugha ya watoto.
Kwa njia rahisi, ya kiburudani, na ya kimataifa.
Lakini ngoja nikupe ukweli unaouma kidogo…
Mtoto asiyejua kuhusu pesa,
Kesho anakua mtu mzima anayehangaika na mikopo, deni, maisha magumu, na maisha ya kubahatisha.
Yaani maisha yanamgeuza kuwa mtumwa.
Wakati wenzake waliopata elimu ya pesa wakiwa wadogo,
Wanakuwa watu wa kutegemewa.
Wanainvest.
Wanafungua biashara.
Wanamiliki mali.
Na bado ni vijana wadogo tu.
Sasa hebu nikufundishe kitu kingine muhimu…
Unaweza kusema,
Mbona shule wanajifunza sana, hawana muda na vitu kama hivi?
Lakini ukweli ni huu:
Shule haitamfundisha mtoto wako namna ya kuingiza kipato.
Shule haina somo la “Jinsi ya kufungua akaunti ya uwekezaji.”
Hawatawahi kumfundisha “jinsi ya kutumia elfu 5 kuanza biashara.”
Na ndiyo maana Nguvu Ya Buku Toto ipo.
Na hii video inakufunulia ukweli wote,
Jionee mwenyewe hapa 👇….
https://youtu.be/8KbwhpmIMPQ
Program hii inazinduliwa rasmi…
📍 Tarehe 14 June 2025
📍 Dar es Salaam
📍 Unaweza fika mwenyewe – au ukaunganishwa live kwa mtandao.
Mtoto wako atapata nini?
✅ Vitabu vya fedha vya watoto
✅ Workbook ya mazoezi ya kifedha ya watoto
✅ Nafasi ya kufunguliwa akaunti ya uwekezaji
✅ Mafunzo ya namna ya kutumia pesa kwa busara
✅ Uwezo wa kutengeneza kipato hata akiwa bado shuleni
Ngoja nikuambie story moja ya kweli…
Mama mmoja alileta mwanae kwenye mafunzo kama haya mwaka jana.
Mtoto alikuwa na miaka 15 tu.
Leo hii, yule mtoto anauza stationery online.
Amefungua akaunti ya akiba.
Ana mipango.
Ana maono.
Na bado ana miaka 11 tu.
Mama yake anasema,
”Sijawahi kumwona akiwa serious namna hii kwenye maisha.”
Na wewe je?
Utakaa kimya mtoto wako akijifunza TikTok na kucheza Free Fire tu?
Au utampa zawadi ya maisha elimu ya pesa mapema?
Karibu kwenye uzinduzi wa Nguvu ya Buku Toto.
Usikose nafasi hii ya kipekee kwa ajili ya mtoto wako.
👉 Tumia taarifa zilizo hapo juu kujisajili.
👉 Usisubiri siku ya mwisho.
Mtoto wa kesho bora, hujengwa na mzazi wa leo mwenye maamuzi sahihi.
Muhimu; Kama bado hujajisajili,
Unajipunja.
Wahi nafasi yako ipo hapa 👇
https://wa.link/qghfsv
Karibu.
Imetoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,
Mkufunzi Ramadhan Amir.
