Rafiki Yangu,

‎Ngoja nikuulize swali rahisi…

‎Unajua kuna uwezekano kila siku unampoteza mteja mmoja au zaidi bila hata wewe kujua?

‎Na sio kwa sababu hujaweka bei nzuri,
‎Sio kwa sababu hauna bidhaa bora,
‎Wala sio kwa sababu hupost vya kutosha,

‎Bali ni kwa sababu hujui siri ya mfumo wa kupata wateja kila siku, bila kutegemea bahati.

‎Hii kitu inauma ukifikiria,
‎Lakini ndio ukweli mtupu ambao wafanyabiashara wengi hawajui.

‎Kila siku kuna mtu angetaka kununua kwako,
‎Kuna mtu alikutana na tangazo lako,
‎Kuna mtu alipenda unachouza,

‎Lakini aliendelea mbele maana hakusukumwa kuhitaji.

‎Hiyo ndiyo hasara ya kimya inayowagharimu wengi bila kujua.

‎Tatizo kubwa sio hakuna wateja
‎Tatizo ni hawageuzwi kuwa wateja

‎Wengi mnapata viewers,
‎Mnapata likes,
‎Mnapata watu wanaosema Hii bidhaa ni nzuri*,
‎Lakini hawafiki hatua ya kuulizia, kuamua, na kununua.

‎Kwa mfano…

‎Umekutana na mtu mwenye kiu, lakini humpi glasi ya maji unamwonyesha tu maji.

‎Biashara ya leo sio ya kuonekana tu,
‎Ni ya kumvusha mtu hatua ya kufanya maamuzi.

‎Unahitaji mfumo unaongoza mteja hatua kwa hatua
‎Kuanzia kukutana na taarifa yako,
‎Kujua unachouza,
‎Kuamini thamani yako,
‎Mpaka kuamua kuchukua hatua leo, sio kesho.

‎Hebu fikiria hii kwa roho yako yote…

‎Leo kuna mtu ameona post yako.
‎Akapita tu.

‎Kesho mwingine ameona story yako.
‎Akapita tu.

‎Kesho kutwa mwingine ameona video yako, akatabasamu,
‎Lakini hakuuliza chochote.

‎Sasa ukijumlisha wiki nzima…
‎Umeacha wateja kama 7
‎Bila kujua.

‎Mwezi mzima…
‎Umeacha wateja 30+ bila kujua.

‎Mwaka mzima…
‎Umeacha wateja 360+ bila kujua.

‎Jiulize swali la ukweli:
‎Kama mteja mmoja angekuachia faida ya 10,000 tu, ungekuwa na shilingi ngapi mwaka mzima?

‎10,000 × 360 = 3,600,000

‎Na hiyo ni kwa mwaka.

‎Sasa fikiria kama ticket yako ni 30,000?
‎Au 50,000?
‎Au 150,000?

‎Unaona hasara ya kimya?
‎Unaona hatari ya kutofahamu siri ya mfumo?

‎Wacha niweke wazi:
‎Kupost sana siyo mfumo.
‎Kuforce tags, likes na shares siyo mfumo.
‎Kuomba watu wa Instagram wakufuate siyo mfumo.

‎Kuchanganya motishai na biashara siyo mfumo.

‎Wateja hawaji kwa maneno mazuri tu,
‎Wanakuja kwa safari ya maamuzi.

‎Na safari hiyo haiwezi kuendeshwa kwa bahati.

‎Biashara yoyote inayotegemea bahati inaishia kwenye msongo,
‎Lakini biashara inayotumia mfumo inaishia kwenye uthabiti na matokeo.

‎Suluhisho ni moja tu…

‎Jenga mfumo wa kuwavuta, kuwashawishi, kuwaamini na kuwageuza wateja *leo, sio kesho.

‎Mfumo unahitaji mambo manne:

‎Kuvuta Umakini (Attention Triggering Content)

‎Kwa post, caption, reels, stories, hook inayogusa problem, siyo tu kuonyesha bidhaa.

‎2. Kufungua mazungumzo (Lead Entry)

‎Usiache mtu ahangaike mpe njia rahisi ya kuingia inbox, WhatsApp, landing page, au DM.

‎3. Kujenga imani (Trust + Proof)

‎Tumia:
‎— testimonies
‎— screenshots
‎— before & after
‎— stories za matokeo

‎Kufunga mauzo kwa mpango (Closing System)

‎Si kwa kubembeleza, bali kwa kuuliza maswali sahihi.

‎Kuna rafiki yangu mmoja anaitwa Musa.
‎Musa alikuwa na biashara ya mitandaoni.
‎Alikuwa akipost kila siku, akipata likes nyingi, views nyingi, comments,

‎….lakini mauzo? Zero.

‎Aliniuliza:
Rama, nimechoka. Napost sana, likes zipo, lakini hakuna anayenunua.

‎Nikamwambia:
Likes sio wateja, Musa. Lakini naweza kukuonyesha mfumo unaowageuza wateja kweli, kila siku.

‎Alianza kutumia mfumo huu hatua kwa hatua.
‎Siku ya kwanza tu watu 5 waliingiza inbox.
‎Wanne walinunua.

‎Wiki moja baadaye, biashara yake ilikuwa imara, wateja waliendelea kuingia kila siku, na mauzo yalikua kwa kasi.

‎Sasa Musa hana stress ya bahati.
‎Anajua kila post, story au ad inafanyiwa kazi na mfumo, si bahati.

‎Hii ndiyo siri ya NUNUA WATEJA.

‎Ukiachana na bahati, ukafuata mfumo huu:

‎Kila mteja anayekuona una njia ya kumvusha hatua kwa hatua.

‎Kila lead inayoingizwa inbox ina uwezekano mkubwa wa kuwa mteja.

‎Mauzo yanakuwa ya uhakika, sio msukumo wa hisia au bahati.

‎Kitabu Cha NUNUA WATEJA – Pata Wateja Wapya Kila Siku Kinafundisha Hatua Kwa Hatua.

‎Unaweza kuanza leo.
‎Usisubiri kesho, kwani kila siku unayochelewa, kuna mteja anakupita.

‎Anzia hapa 👇

https://wa.link/9p4izz

‎Karibu.
‎0756694090.

‎PS: Kila Dakika Unayochelewa Ni Mteja Anaepita, Tumia Mfumo Huu Sasa, Na Geuza Kila Like Kuwa Pesa Halisi.

‎Kutoka Kwa Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Ramadhan Amir,

‎Sales & Lead Generation Specialist – TSA.